Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 3,268
- 4,088
Ni hatari+++. Hilo kwa mfano ikitokea huku kwetu Umasaini ndani-ndani huku; kama mwanamke aliyethubutu kurudisha hatowahi fasta kukimbia tena kwa mwendo wa spidi ya ngiri, huenda hadithi ikabadilika ikawa nyingine na ya kutisha mno. Kamwe huku wanawake hawathubutu kabisa na sijui kama itakaa itokee. Ni bora mwanamke mhusika aliyekamatika akapiga magoti kwa unyenyekevu mkubwa (huku kichapo kinaendelea) naye anazidi kulia kwa kihoro ""Arasiya bhabhaa, Arasaiya bhaba laii..." yan "nisamehe baba, Nisamehe baba yangu....Nimetubu ...." kuliko arudishe