Wakuu!
Haya ni maajabu kidogo, leo nimekutana na mwanamke mmoja anatokea Masasi, kuja Tandahimba kwa fundi (mganga wa kienyeji.)
kwa bahati nilifanikiwa kupiga nae stori na akanielezea kisa kilichomfanya aje Tandahimba kumtafuta fundi!
Inshort tatizo lake yeye ni kuwa aliolewa kama miaka 2 hivi iliyopita na katika ndoa yake ilitokea mtafaruku kati yake na mumewe kitu kilichopelekea wakatengana.
Sasa ajabu ni kuwa tokea atengane na huyo mumewe, kila mwanaume anayekutana nae kimwili(kusex nae) lazma apate homa kali, na akipona tu! Anakuwa siyo rizki tena!
Kesha fanya hivyo na zaidi ya wanaume 4 na wote wamekutwa na tatizo hilo, ndiyo akagundua kuwa tatizo ni yeye na anadhani amelogwa na mume wake wa kwanza!!
Ndiyo mjue wanawake wengine ni hatari, na dawa nyingine ni hatari..
Kuna kulogwa hadi kwenye mapenzi!
Ndo hivyo,me nilitaka kupiga risasi mnyama mmoja wa kike kabisa.
Kaka acha tu,mbona nina story sana,dunia hii tuko shule kaka!demu lenyewe basi lina fungus unalivumilia halafu linakutenda,yaani kaka utaona vi piece piece vya story tu ila utavielewa tu.Ahahahaha mkuu umenichekesha karibia katika kila uzi unaandika hivi, inaonekana unahasira na wale wadudu
Ungetupiamo kapicha sasa si tutamjuaje jamani!! Dah unaenda kupga unageuka le mutuz!! Dtnia ina matatizo sana hii
Mkuu siyo nyama zote zinafaa kula ati
Kaka hawa viumbe usipojizuia,unaweza kufanya jambo mpaka watu wakakushangaa.Ndo hivyo,Ndo maana wengine wanaokoka!me nilitaka kupiga risasi mnyama mmoja wa kike kabisa.
Yaani umenikumbusha matangazo ya waganga wa kienyeji.... Eti kumrudisha mpe, wakati yeye mwenyewe kakimbiwa ana mwaka wa saba sasa....Kamfanyie maombi mkuu, au mlete kwangu nimuombee ataolewa siku hiyohiyo!
Wakuu!
Haya ni maajabu kidogo, leo nimekutana na mwanamke mmoja anatokea Masasi, kuja Tandahimba kwa fundi (mganga wa kienyeji.)
kwa bahati nilifanikiwa kupiga nae stori na akanielezea kisa kilichomfanya aje Tandahimba kumtafuta fundi!
Inshort tatizo lake yeye ni kuwa aliolewa kama miaka 2 hivi iliyopita na katika ndoa yake ilitokea mtafaruku kati yake na mumewe kitu kilichopelekea wakatengana.
Sasa ajabu ni kuwa tokea atengane na huyo mumewe, kila mwanaume anayekutana nae kimwili(kusex nae) lazma apate homa kali, na akipona tu! Anakuwa siyo rizki tena!
Kesha fanya hivyo na zaidi ya wanaume 4 na wote wamekutwa na tatizo hilo, ndiyo akagundua kuwa tatizo ni yeye na anadhani amelogwa na mume wake wa kwanza!!
Ndiyo mjue wanawake wengine ni hatari, na dawa nyingine ni hatari..
Kuna kulogwa hadi kwenye mapenzi!
Yaani umenikumbusha matangazo ya waganga wa kienyeji.... Eti kumrudisha mpe, wakati yeye mwenyewe kakimbiwa ana mwaka wa saba sasa....