Mwanamke Hatari!! Ukimgonga tu! lazima uugue..

Mwanamke Hatari!! Ukimgonga tu! lazima uugue..

Akitoka kwa huyo fundi wenu mtesti usipougua basi kapona. all thw best. usisahau kutuupudeti
 
Kamfanyie maombi mkuu, au mlete kwangu nimuombee ataolewa siku hiyohiyo!
 
kuna mama mmoja aliwahi kuniambia kuna watu ukitembea nao unapata mikosi!
 
mkuu wa aina hiyo hupaswi kumgonga,inatakiwa unadonyoa kidogo kidogo donyo!!! donyo!!donyo!!!
 
Wakuu!
Haya ni maajabu kidogo, leo nimekutana na mwanamke mmoja anatokea Masasi, kuja Tandahimba kwa fundi (mganga wa kienyeji.)

kwa bahati nilifanikiwa kupiga nae stori na akanielezea kisa kilichomfanya aje Tandahimba kumtafuta fundi!

Inshort tatizo lake yeye ni kuwa aliolewa kama miaka 2 hivi iliyopita na katika ndoa yake ilitokea mtafaruku kati yake na mumewe kitu kilichopelekea wakatengana.

Sasa ajabu ni kuwa tokea atengane na huyo mumewe, kila mwanaume anayekutana nae kimwili(kusex nae) lazma apate homa kali, na akipona tu! Anakuwa siyo rizki tena!
Kesha fanya hivyo na zaidi ya wanaume 4 na wote wamekutwa na tatizo hilo, ndiyo akagundua kuwa tatizo ni yeye na anadhani amelogwa na mume wake wa kwanza!!

Ndiyo mjue wanawake wengine ni hatari, na dawa nyingine ni hatari..

Kuna kulogwa hadi kwenye mapenzi!

Nikadhani umemgonga wewe..
 
Ndo hivyo,me nilitaka kupiga risasi mnyama mmoja wa kike kabisa.

Ahahahaha mkuu umenichekesha karibia katika kila uzi unaandika hivi, inaonekana unahasira na wale wadudu
 
Ahahahaha mkuu umenichekesha karibia katika kila uzi unaandika hivi, inaonekana unahasira na wale wadudu
Kaka acha tu,mbona nina story sana,dunia hii tuko shule kaka!demu lenyewe basi lina fungus unalivumilia halafu linakutenda,yaani kaka utaona vi piece piece vya story tu ila utavielewa tu.
 
Hiyo mbona rahisi? Anapoteza muda wake kwa waganga bure
 
Kuna jamaa alihamishiwa kikaz rukwa akamuacha mkewe Tanga...
Kufika huko kila alipotaka kukabanjua kale ka amri jogoo hawiki...mbona alimsafirisha mkewe akahamia rukwa...kwa mkewe mambo fresh jogoo anawika kama kawaida...
Kumbe mkewe ndiye aliyefanya makeke teh teh....
 
huyo fundi anamuongezea tatizo tu aje kwa bwana yesu yote yataisha
 
Ndo hivyo,Ndo maana wengine wanaokoka!me nilitaka kupiga risasi mnyama mmoja wa kike kabisa.
Kaka hawa viumbe usipojizuia,unaweza kufanya jambo mpaka watu wakakushangaa.
 
Akitoka kwa huyo fundi wenu mtesti usipougua basi kapona. all thw best. usisahau kutuupudeti

ha ha ha ha! mi niugue? si kila nyama inaliwa Sista
 
Last edited by a moderator:
Wakuu!
Haya ni maajabu kidogo, leo nimekutana na mwanamke mmoja anatokea Masasi, kuja Tandahimba kwa fundi (mganga wa kienyeji.)

kwa bahati nilifanikiwa kupiga nae stori na akanielezea kisa kilichomfanya aje Tandahimba kumtafuta fundi!

Inshort tatizo lake yeye ni kuwa aliolewa kama miaka 2 hivi iliyopita na katika ndoa yake ilitokea mtafaruku kati yake na mumewe kitu kilichopelekea wakatengana.

Sasa ajabu ni kuwa tokea atengane na huyo mumewe, kila mwanaume anayekutana nae kimwili(kusex nae) lazma apate homa kali, na akipona tu! Anakuwa siyo rizki tena!
Kesha fanya hivyo na zaidi ya wanaume 4 na wote wamekutwa na tatizo hilo, ndiyo akagundua kuwa tatizo ni yeye na anadhani amelogwa na mume wake wa kwanza!!

Ndiyo mjue wanawake wengine ni hatari, na dawa nyingine ni hatari..

Kuna kulogwa hadi kwenye mapenzi!

Still stuck in the past! Unaamini uchawi karne hii!
 
Back
Top Bottom