Chocs
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 8,437
- 4,828
Ukweli ni kuwa Wanaume wengine ni hatari sana kwani yeye anaacha na hataki mtu mwingine achukuweStill stuck in the past! Unaamini uchawi karne hii!
mkuu huyu wa makanya na naona anataka yeye kuchezea wanaume!
sasa huyu wa masasi yeye hataki amuumize mtu, na anataka sana kuolewa tena.
ndiyo maana kafanya maamuzi ya kuja kwa fundi.
Wakuu!
Haya ni maajabu kidogo, leo nimekutana na mwanamke mmoja anatokea Masasi, kuja Tandahimba kwa fundi (mganga wa kienyeji.)
kwa bahati nilifanikiwa kupiga nae stori na akanielezea kisa kilichomfanya aje Tandahimba kumtafuta fundi!
Inshort tatizo lake yeye ni kuwa aliolewa kama miaka 2 hivi iliyopita na katika ndoa yake ilitokea mtafaruku kati yake na mumewe kitu kilichopelekea wakatengana.
Sasa ajabu ni kuwa tokea atengane na huyo mumewe, kila mwanaume anayekutana nae kimwili(kusex nae) lazma apate homa kali, na akipona tu! Anakuwa siyo rizki tena!
Kesha fanya hivyo na zaidi ya wanaume 4 na wote wamekutwa na tatizo hilo, ndiyo akagundua kuwa tatizo ni yeye na anadhani amelogwa na mume wake wa kwanza!!
Ndiyo mjue wanawake wengine ni hatari, na dawa nyingine ni hatari..
Kuna kulogwa hadi kwenye mapenzi!
Wakuu!
Haya ni maajabu kidogo, leo nimekutana na mwanamke mmoja anatokea Masasi, kuja Tandahimba kwa fundi (mganga wa kienyeji.)
kwa bahati nilifanikiwa kupiga nae stori na akanielezea kisa kilichomfanya aje Tandahimba kumtafuta fundi!
Inshort tatizo lake yeye ni kuwa aliolewa kama miaka 2 hivi iliyopita na katika ndoa yake ilitokea mtafaruku kati yake na mumewe kitu kilichopelekea wakatengana.
Sasa ajabu ni kuwa tokea atengane na huyo mumewe, kila mwanaume anayekutana nae kimwili(kusex nae) lazma apate homa kali, na akipona tu! Anakuwa siyo rizki tena!
Kesha fanya hivyo na zaidi ya wanaume 4 na wote wamekutwa na tatizo hilo, ndiyo akagundua kuwa tatizo ni yeye na anadhani amelogwa na mume wake wa kwanza!!
Ndiyo mjue wanawake wengine ni hatari, na dawa nyingine ni hatari..
Kuna kulogwa hadi kwenye mapenzi!