Mwanamke Hatari!! Ukimgonga tu! lazima uugue..

Mwanamke Hatari!! Ukimgonga tu! lazima uugue..

Kuna njia za kishilikina za kuzuia wanawake,wengine huwa baada ya kuoa wanatabia ya kwenda kuzindika wake zao kwa mazingara ili mwanaume yeyote akigusa tu ameumia au moja kwa moja kwa shetani,njia yenyewe huwa wanaweka wembe kwenye mlango kwa hiyo akipita mwanamke ule wembe unakata chale sehemu za siri kwa mazingara (wahehe wanasema lutambulilo).
 
mkuu huyu wa makanya na naona anataka yeye kuchezea wanaume!
sasa huyu wa masasi yeye hataki amuumize mtu, na anataka sana kuolewa tena.
ndiyo maana kafanya maamuzi ya kuja kwa fundi.

Fundi ni mbuzi bana, anakula majani, ana harisha karanga
 
Wakuu!
Haya ni maajabu kidogo, leo nimekutana na mwanamke mmoja anatokea Masasi, kuja Tandahimba kwa fundi (mganga wa kienyeji.)

kwa bahati nilifanikiwa kupiga nae stori na akanielezea kisa kilichomfanya aje Tandahimba kumtafuta fundi!

Inshort tatizo lake yeye ni kuwa aliolewa kama miaka 2 hivi iliyopita na katika ndoa yake ilitokea mtafaruku kati yake na mumewe kitu kilichopelekea wakatengana.

Sasa ajabu ni kuwa tokea atengane na huyo mumewe, kila mwanaume anayekutana nae kimwili(kusex nae) lazma apate homa kali, na akipona tu! Anakuwa siyo rizki tena!
Kesha fanya hivyo na zaidi ya wanaume 4 na wote wamekutwa na tatizo hilo, ndiyo akagundua kuwa tatizo ni yeye na anadhani amelogwa na mume wake wa kwanza!!

Ndiyo mjue wanawake wengine ni hatari, na dawa nyingine ni hatari..

Kuna kulogwa hadi kwenye mapenzi!

Vifanyio vimepigwa tarakimu za siri.
 
Sasa yupo mmoja hapa dar ikigonga kazi huna hatakama wewe ni director secretary anakufuta kazi inawezekana na zaidi kuna kazi watu hawafukuzwi kama wajeshi ila akagonga akafutwa jeshi huyo noma
 
Sasa hilo la kuuliza wakati nyinyi wanaume was huko tandahimba NEWALA namikupa mahuta,ni kawaida kurogezea wanawake,umekuwa wepesi kuacha wanawake hasa nanunu mkiacha nyinyi unataka kumkomoa mtoto wa watu hasiolewe tena.
 
Haina tofauti na wanaonatana...Kwa nn umfanyie mwenzio ushenzi wote huu??? Kama mmeachana si basi, tafuta mwingine na muache mwenzio aendelee kufaidi kile ambacho nawe utapata Kwa wengine. Mapenzi si vita.
 
Wakuu!
Haya ni maajabu kidogo, leo nimekutana na mwanamke mmoja anatokea Masasi, kuja Tandahimba kwa fundi (mganga wa kienyeji.)

kwa bahati nilifanikiwa kupiga nae stori na akanielezea kisa kilichomfanya aje Tandahimba kumtafuta fundi!

Inshort tatizo lake yeye ni kuwa aliolewa kama miaka 2 hivi iliyopita na katika ndoa yake ilitokea mtafaruku kati yake na mumewe kitu kilichopelekea wakatengana.

Sasa ajabu ni kuwa tokea atengane na huyo mumewe, kila mwanaume anayekutana nae kimwili(kusex nae) lazma apate homa kali, na akipona tu! Anakuwa siyo rizki tena!
Kesha fanya hivyo na zaidi ya wanaume 4 na wote wamekutwa na tatizo hilo, ndiyo akagundua kuwa tatizo ni yeye na anadhani amelogwa na mume wake wa kwanza!!

Ndiyo mjue wanawake wengine ni hatari, na dawa nyingine ni hatari..

Kuna kulogwa hadi kwenye mapenzi!

wewe nawe ulipogonga uliugua.
 
Labda ana chronic STD na akiminywa zinaamka zinamletea homa. Aonane na OB
 
Back
Top Bottom