masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,778
- 16,702
Acha mapenzi ya lamujere de vida wewe..? Mademu wengine mnadanganyana mno hapa jf..kama unashindwa kushukuru tu kwa mtu kukupa dawa, chakula na kuacha kazi zake kukuuguza bora uondoke.. Nashukuru kuna wasichana wanajitambua si kama nyinyi hapa jf na maisha yenu ya muvi
tangu jana naona kila ninachocoment unakuja na kukicrash
sikiliza siafu dume hapa jf kila mtu ana mtazamo wake na ana uhuru wa kukoment anachotaka nimekuona mara nyingi unawapondea wadada wa jf maraa oooh sijui hawajitambui mara kuna mmoja alikuja ofisini akaanza kujishaua
sikiliza ni kwambia maswala ya kuexpose mambo ya members na kujifanya una mfumo dume hapa hayako sheria zinaeleza wazi hakuna mtu mwenye ruhusa ya kumkandia member mwenzie tena wewe umegeneralize
nenda kasome kanuni za humu,,mpaka hapo unastahili ban kwani kila aliyemo humu anajua haki yake kulingana na sheria sasa wewe jifanye una jazba na wasichana wa humu
kwa lugha nyepesi una tenga wanawake wakati sheria imesema sisi wote ni wa moja lakini pili ume expose ya huko mtaani hapa
na la tatu unachochea vurugu kati ya wanaume na wanawake
na kama unajihisi hapa tunadanganyana nenda twitter kawafollow kina bruno mars,breezy,whistle,hii tuachie waongo
watch ur back kuku report kwa mods ni jambo jepesi