Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Ndio ujue wanawake wanatofautiana.
Ndio ujue wanawake wanatofautiana.
Yaani Leo umenifurahisha sana Ichana! Kuna wasichana wanafikiri mapenzi ni Kama wanavyotazama kwenye tamthilia, aggggrr
Nina mpenzi wangu anayefanya kazi morogoro mwezi march alikuja kunitembelea coz alikuwa likizo na alikaa kwangu wiki 2.siku 3 tangu afike alishikwa na malaria Kali ikabidi niombe ruhusa kazini ili nimuuguze kiukweli nilimpa kila kitu anachotakiwa kupewa mgonjwa including dawa,vyakula vilivyopendekezwa na daktari na vyakula alivyopenda mgonjwa.pamoja na gari kumpeleka hospitali au sehemu yoyote aliyopenda ili kumliwaza mgonjwa.mungu akasaidia akapona na amerudi morogoro.lakini cha ajabu juzi ananiambia sikumjali alipokuwa anaumwa sababu SIKUWAHI KUMLETEA KADI YA GET WELL SOON.ebu nisaidieni kadi tu ndio mtu akujali
Kwanni uwe mtumwa???
Nashangaa sana wanaume wa sasa kitu cha kipuuzi kama hiki unamwambia unamwambia so ulitaka nikununulie kadi badala ya dawa?
Ukweli utakusaidia achana nae kuwa huru na maisha yako.
Dah, mawasiliano hafifu. Km alihitaji chakula au kitu Fulani na ukampatia kwa wakati, ni kwanini hakuomba kadi? Ila kakukumbusha, akiumwa tena mnunulie + mdoli
Kadi si utamaduni wetu ...watu tumeambatana na mapokeo ya sanyans na kuwa wajinga....mwanaume huwez kupelekeshwa hujamuoa had ameomba ruhusa kazin, mda wake alitumia kumtake care still malalamiko....amekosea njia kama kashindwa kushukuru kwa hilo dogo hat kuwa mke hafai.....
hujui ulichoandika?haya mkuu.
Nina mpenzi wangu anayefanya kazi morogoro mwezi march alikuja kunitembelea coz alikuwa likizo na alikaa kwangu wiki 2.siku 3 tangu afike alishikwa na malaria Kali ikabidi niombe ruhusa kazini ili nimuuguze kiukweli nilimpa kila kitu anachotakiwa kupewa mgonjwa including dawa,vyakula vilivyopendekezwa na daktari na vyakula alivyopenda mgonjwa.pamoja na gari kumpeleka hospitali au sehemu yoyote aliyopenda ili kumliwaza mgonjwa.mungu akasaidia akapona na amerudi morogoro.lakini cha ajabu juzi ananiambia sikumjali alipokuwa anaumwa sababu SIKUWAHI KUMLETEA KADI YA GET WELL SOON.ebu nisaidieni kadi tu ndio mtu akujali
Nina mpenzi wangu anayefanya kazi morogoro mwezi march alikuja kunitembelea coz alikuwa likizo na alikaa kwangu wiki 2.siku 3 tangu afike alishikwa na malaria Kali ikabidi niombe ruhusa kazini ili nimuuguze kiukweli nilimpa kila kitu anachotakiwa kupewa mgonjwa including dawa,vyakula vilivyopendekezwa na daktari na vyakula alivyopenda mgonjwa.pamoja na gari kumpeleka hospitali au sehemu yoyote aliyopenda ili kumliwaza mgonjwa.mungu akasaidia akapona na amerudi morogoro.lakini cha ajabu juzi ananiambia sikumjali alipokuwa anaumwa sababu SIKUWAHI KUMLETEA KADI YA GET WELL SOON.ebu nisaidieni kadi tu ndio mtu akujali
hivi mama ako ushawai kumjali hivyo....nina mpenzi wangu anayefanya kazi morogoro mwezi march alikuja kunitembelea coz alikuwa likizo na alikaa kwangu wiki 2.siku 3 tangu afike alishikwa na malaria kali ikabidi niombe ruhusa kazini ili nimuuguze kiukweli nilimpa kila kitu anachotakiwa kupewa mgonjwa including dawa,vyakula vilivyopendekezwa na daktari na vyakula alivyopenda mgonjwa.pamoja na gari kumpeleka hospitali au sehemu yoyote aliyopenda ili kumliwaza mgonjwa.mungu akasaidia akapona na amerudi morogoro.lakini cha ajabu juzi ananiambia sikumjali alipokuwa anaumwa sababu sikuwahi kumletea kadi ya get well soon.ebu nisaidieni kadi tu ndio mtu akujali
Nina mpenzi wangu anayefanya kazi morogoro mwezi march alikuja kunitembelea coz alikuwa likizo na alikaa kwangu wiki 2.siku 3 tangu afike alishikwa na malaria Kali ikabidi niombe ruhusa kazini ili nimuuguze kiukweli nilimpa kila kitu anachotakiwa kupewa mgonjwa including dawa,vyakula vilivyopendekezwa na daktari na vyakula alivyopenda mgonjwa.pamoja na gari kumpeleka hospitali au sehemu yoyote aliyopenda ili kumliwaza mgonjwa.mungu akasaidia akapona na amerudi morogoro.lakini cha ajabu juzi ananiambia sikumjali alipokuwa anaumwa sababu SIKUWAHI KUMLETEA KADI YA GET WELL SOON.ebu nisaidieni kadi tu ndio mtu akujali
hebu ondoa haraka sana hiyo kanga moko!!!!!
habari za asubuhi mpendwa?