Mwanamke hakopeshwi pesa na mwanaume

Mwanamke hakopeshwi pesa na mwanaume

Hujawahi soma kamusi ya wanawake mkuu?

Neno KOPA lina maana ya OMBA na neno KOPESHWA lina maana ya PEWA...
 
wote mliowakopeshaaa wanawake helaa humu ndani nimandezii afu Weng watakuwa wadar,,,,povu ruksaaaa
 
Ni washirikishe wanaume wenzangu kwenye hili!

Kuna mwanamke mmoja ni rafiki yangu kwani tulisoma nae pale IFM na sasa hivi anajishughulisha na biashara za pikipiki.

Kuna siku alinipigia simu kuwa nimkopeshe pesa kuna mzigo wake ulikwama bandarini ilikuwa mwaka jana mwezi wa 8.

Nakwambia leo ndo nimelipwa kiasi kilichokuwa kimebaki. Nilimkopesha milioni 5. Ila ndio hivyo tena kwa kumbembeleza sana.

Kwahiyo wanaume wenzangu mwanamke anapewa pesa sio kukopeshwa mjifunze atakuzungusha mpaka ukome, kama ulikuwa na malengo yako yanavurugika.
usijekufanya hilo kosa hata siku moja, ama la utawajua wanawake wakoje.
 
Mimi nimekopwa 300k january hii huruma ikaniingia nikatoa ila sioni dalili ya kurudi.....

najua hiyo ni kama sadaka akirudisha sawa asiporudisha pia sawa kuna rafiki yangu mwingine nilimpa 20k tu ila hata simu hapokei
 
mi nlimkopeshaga mdada 1.5 M nkajua atanirusha au kuleta zile zao mademu. alinirudishia in two installments, nikamuheshimu sana kwa hilo and she is side chick ever since
 
UTHUBUTU WAKUMKOPESHA MWANAMKE UNAUTOA WAPI KWANZA ..WENGI HUWA WANAOMBA KUKOPESHWA HUKU WAKICHUKULIWA UDHAIFU WETU WAKUPENDA PAPUCHI KAMA NDIO DHAMANA YAO ..SO UKIMKOPESHA TAMBUA KUWA HUTO LIPWA PESA BALI UTALIPWA CHIU...
MWANAMKE KUTOA CHIU KWAKE NISUALA DOGO MNOO TOFAUTI NA BAADHI YA WANAUME WENGI WANAVYODHANI ..HUWA NAWASHANGAA MNOO WANAUME WANAOGOMBANIA MWANAMKE
 
Mi kuna mdada wa chuo maneno mengi nikopeshe Elfu 50 nitakurudishia boom nikipata mara nikitumiwa na mtu flan nitakurudishia lengo lake afanye nauli, dah nimempa mwaka jana kwenye mwez wa 5 mpaka Leo kimya. Sijuih nifanyaje.
 
Kweli..! Asante mleta mada...nimemkopesha mdada mmoja 500000 ni miezi miwili sasa imepita anazingua ...kulipa anasema tuzungumze vizuri ...huku akiwa na dalili zote anipe papuchii....nimegoma kukutana naye mpaka anipe fedha YANGU akinilipa tuu...namla sasa staki ...mpaka hela irudi.
 
Kweli..! Asante mleta mada...nimemkopesha mdada mmoja 500000 ni miezi miwili sasa imepita anazingua ...kulipa anasema tuzungumze vizuri ...huku akiwa na dalili zote anipe papuchii....nimegoma kukutana naye mpaka anipe fedha YANGU akinilipa tuu...namla sasa staki ...mpaka hela irudi.
Lakini kubali kusubiri sana, wanawake waliowengi ukiwakopesha hawarejeshi na ikitokea basi si kwa wakati
 
Unamkopeshaje mwanamke, lasivyo uuvae ukauzuvufate taratibu zote za kimkopo km vile mkataba, dhamana n.k
 
Mwanamke anakopesheka kwa vigezo hivi. 1)usiwe ulishawahi kumtongoza.
2)usiwe ulishamchapa dudu
3)usiwe ulishamuonyesha kumpenda.
4)usiwe ulishamuonyesha kumtamani
5)Muwe mnaheshimiana km dada/kaka
6)baada ya kumkopesha usimtongoze, usimuonyeshe kumtamani, usimjengee mazoea wala usimsogeze karibu yako. Atakulipa.
 
Na ukizikopa tyu ..unaona mtoto anafanya mitego yote ili uchape papuchi afu deni liishe ..mm huwa naomba aweke bond ata km ni mkopo wa 30000
 
Mademu wengi jinsi walivyo hata ukimpa lift njiani yeye anajua ni kwa sababu ya K yake kwamba unatafuta namna ya kumuingia chochote utachomfanyia kwa upendo tu wa kibinadamu yeye anauchukulia tofauti.Sasa unakuta dem anakuzimia halafu wewe hushtukii na kukufungukia kwake ni inshu sasa kwao neno 'nikopeshe hela ntakurudishia' huwa ni kama trick yao ya kuweza kuwafikisha kwenye mwili wako naniwajanja wa kutosha wanakuomba hela ya katikati mwa kipato chako ambayo anajua unaweza kuitoa na hautakuwa tayari kuipoteza yaani utaikumbuka mara kwa mara kumbe wakati wa kuikumbuka ile hela ndo wakati wa kumkumbuka yeye ambao ndo mwanzo wa kuteka attention yako.
 
Asiee hili ni kweli kabisa, kuna mama mmoja hivi nilizaaga na mdogo wake nilimkopesha hela toka mwaka juzi hana hata dalili za kulipa. Na mm nilisha hesabu maumivu


ni mama mmoja au shemeji yako...mbona huna adabu hivyo kijana au hujui mwanao anamwita mama mkubwa na akienda kwake anakaa bila tabu.
 
Kweli..! Asante mleta mada...nimemkopesha mdada mmoja 500000 ni miezi miwili sasa imepita anazingua ...kulipa anasema tuzungumze vizuri ...huku akiwa na dalili zote anipe papuchii....nimegoma kukutana naye mpaka anipe fedha YANGU akinilipa tuu...namla sasa staki ...mpaka hela irudi.
Analipa??
 
Back
Top Bottom