OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,497
- 605
Ni washirikishe wanaume wenzangu kwenye hili!
Kuna mwanamke mmoja ni rafiki yangu kwani tulisoma nae pale IFM na sasa hivi anajishughulisha na biashara za pikipiki.
Kuna siku alinipigia simu kuwa nimkopeshe pesa kuna mzigo wake ulikwama bandarini ilikuwa mwaka jana mwezi wa 8.
Nakwambia leo ndo nimelipwa kiasi kilichokuwa kimebaki. Nilimkopesha milioni 5. Ila ndio hivyo tena kwa kumbembeleza sana.
Kwahiyo wanaume wenzangu mwanamke anapewa pesa sio kukopeshwa mjifunze atakuzungusha mpaka ukome, kama ulikuwa na malengo yako yanavurugika.
Kuna mwanamke mmoja ni rafiki yangu kwani tulisoma nae pale IFM na sasa hivi anajishughulisha na biashara za pikipiki.
Kuna siku alinipigia simu kuwa nimkopeshe pesa kuna mzigo wake ulikwama bandarini ilikuwa mwaka jana mwezi wa 8.
Nakwambia leo ndo nimelipwa kiasi kilichokuwa kimebaki. Nilimkopesha milioni 5. Ila ndio hivyo tena kwa kumbembeleza sana.
Kwahiyo wanaume wenzangu mwanamke anapewa pesa sio kukopeshwa mjifunze atakuzungusha mpaka ukome, kama ulikuwa na malengo yako yanavurugika.