Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,593
- 53,370
Mhmhhhh mama umekuja kwa kasi ya rocket..mada zako naanza kukuelewa...kati ya zile bidhaa zako zinambadala wa mateHakuna sehemu yenye vijidudu vya magonjwa Kama mdomoni.
Bahati mbaya sana wanaume wengi hawawezi kufanya mapenzi bila kutumia mate Jambo ambalo linawaacha wanawake wengi na maradhi ya ukeni baada ya tendo. Na hatuelewi Ni kwanini maana huko panalainika penyewe
Wanaume eleweni mnapotuwekea mate tunaenda kupata hasara ya kujitibu fangas na bacteria .mbaya zaidi hata hiyo hela hamtoi.
Kama unaona haingii bila mate jua hiyo sio size yako acha tafuta ingine.
Tuma order karibu tukuhudumie