Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
"Bahati mbaya wanaume WENGI hawawezi kufanya mapenzi bila kutumia mate"... Hapa umetumia uzoefu wako binafsi, ahsante kwa taarifaHakuna sehemu yenye vijidudu vya magonjwa Kama mdomoni.
Bahati mbaya sana wanaume wengi hawawezi kufanya mapenzi bila kutumia mate Jambo ambalo linawaacha wanawake wengi na maradhi ya ukeni baada ya tendo. Na hatuelewi Ni kwanini maana huko panalainika penyewe
Wanaume eleweni mnapotuwekea mate tunaenda kupata hasara ya kujitibu fangas na bacteria .mbaya zaidi hata hiyo hela hamtoi.
Kama unaona haingii bila mate jua hiyo sio size yako acha tafuta ingine.
Tuma order karibu tukuhudumie
"Tuma order karibu tukuhudumie" ... Hapa umetoa tangazo la biashara... Yaani hao wanaume wengi bado hawajakamilisha utafiti wako??
LORD HAVE MERCY!