Mwanamke epuka mwanaume anaekupaka mate

Mwanamke epuka mwanaume anaekupaka mate

Mbona umesahau kuhusu kuhamisha Ikulu!? Nduli na dikteta wa Ikulu kaamua by December 2019 Ikulu ni lazima iwe imehamia Ikulu.
[emoji12][emoji12][emoji12]
Abebee na lile sanamu la askari pale posta achukuwe tu akaliweke kwenye mataa wanayovuka punda kule chattle
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ila we ni mchochezi jamani khaaaa
Usiogope ...kuna vijiswali mtu ukiuliza hapa utashangaa uzi unapelekwa jukwaa la wakubwa na wengine watakosa kuuona na kuchangia
 
Kwahiyo hii ndiyo bidhaa moja wapo inayopatikana hapo kwenye discount supermarket yako

Asubuhi yote hii ndiyo maana ya jamaa jiwe anatubuluza tu, mpaka wanyama anawazindua kwa idadi kubwa ya raia wa hivi bado

Tuna safari ndefu sana
Hatari sana mkuu hiyo supermarket hasara tupu
 
Unakwepa kulainishwa na denda kunako hapo hapo unakula romance ka huna akili nzuri khaaa🤣🤣
 
Watu wanaenda na mdundo wa ngoma ya Diamond..."ipake mate iteleze"...!😂😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂😂😂😂 huyo mkwapuzi tena kila kitu ahamishie tu huko hata Indian Ocean ahamishie tu ila asitie mguu tena Dar tumeshamchoka na maovu yake.

Abebee na lile sanamu la askari pale posta achukuwe tu akaliweke kwenye mataa wanayovuka punda kule chattle
 
Tutakuwa tunawamiminia pombe kweny papuchi mkiwa wakavu kama mate hamtaki
 
Wengi pia wanapaka wenyewe au tupo option nyingine ya mate mana huwa fluid ile inaisha panabaki pakavu
Hakuna sehemu yenye vijidudu vya magonjwa Kama mdomoni.
Bahati mbaya sana wanaume wengi hawawezi kufanya mapenzi bila kutumia mate Jambo ambalo linawaacha wanawake wengi na maradhi ya ukeni baada ya tendo. Na hatuelewi Ni kwanini maana huko panalainika penyewe
Wanaume eleweni mnapotuwekea mate tunaenda kupata hasara ya kujitibu fangas na bacteria .mbaya zaidi hata hiyo hela hamtoi.
Kama unaona haingii bila mate jua hiyo sio size yako acha tafuta ingine.


Tuma order karibu tukuhudumie
 
Back
Top Bottom