Mwanamke anayekupenda kweli

Mwanamke anayekupenda kweli

Sasa kama hampendi kwanini baadhi ya wanawake huwalilia wanaume fulani.
Wewe mwenyewe hapo ulipo kuna mkaka unamdhimia hatari hutaki kumwambia. Sasa hampendi kivipi. Mimi naamini kama unaweza kupenda vitu visivyo na uhai kama nguo, viatu au mikufu basi unaweza kumpenda na mwanadamu mwenzako pia na kutaka uwe naye karibu muda wote huku ukiongea na kucheza naye. Labda uniambie hivi wanawake wengi wametendwa kwenye mapenzi nakupelekea mioyo yao kuchoka kupenda.
Wanawake hata tukiwa na furaha tunalia, hafu kumlilia mtu haimaanishi kitu kinapendwa ni vile tuko emotional zaidi. Wanawake kupenda hamna tuna mood swings nyingi Sana, sasa hivi wakipenda hichi baada ya mda wakikinai
 
Utajua anakupenda kama ukiwa wamtongoza pembeni ya kifusi cha kokoto, hadi mtongozo unaisha basi atakuwa kashahamisha nusu ya kifusi eneo jingine
 
Hayo mambo ya kuja kujitoa mhanga na mtoto wa mtu
 
Ata kusapoti, ata kutii na kukuheshimu, ata kushirikisha kwenye kila jambo lake, hatoweza kukufanyia kitu ambacho anajua yeye ukimfanyia kitamuumiza, atokufanya mpenzi tu bali utakuwa kama baba pia for sometimes, ataitaji kujua plans zako ili na yeye aplan kuendana na plans zako, yupo Tayar kukukosoa na kukulekebisha pale anapo ona unaenenda katika njia iliyo potofu, hatokkuonea aiba mbele za watu kwaajir ya hali uliyonayo( yupo tayar kukupigania na kuwa upande wako watu watakapo kushambulia), furaha yako ni furaha yake pia na uchungu wako ni uchungu wake pia, hato kupa sex kwa mafungu, atapenda kukuuliza maswali ya kumsahihisha kwenye kila kitu anachofanya, sio msiri,

Imetosha
 
Ata kusapoti, ata kutii na kukuheshimu, ata kushirikisha kwenye kila jambo lake, hatoweza kukufanyia kitu ambacho anajua yeye ukimfanyia kitamuumiza, atokufanya mpenzi tu bali utakuwa kama baba pia for sometimes, ataitaji kujua plans zako ili na yeye aplan kuendana na plans zako, yupo Tayar kukukosoa na kukulekebisha pale anapo ona unaenenda katika njia iliyo potofu, hatokkuonea aiba mbele za watu kwaajir ya hali uliyonayo( yupo tayar kukupigania na kuwa upande wako watu watakapo kushambulia), furaha yako ni furaha yake pia na uchungu wako ni uchungu wake pia, hato kupa sex kwa mafungu, atapenda kukuuliza maswali ya kumsahihisha kwenye kila kitu anachofanya, sio msiri,

Imetosha


Anaeza fanya hayo yote kwa kuigiza ili atafune hela zako tu.... Wanawake ni viumbe havieleweki kabisaaaaa...

Ila ukiwa kapuku na akafanya hvo huyo atakuwa kakupenda kweli...
 
Wanawake hata tukiwa na furaha tunalia, hafu kumlilia mtu haimaanishi kitu kinapendwa ni vile tuko emotional zaidi. Wanawake kupenda hamna tuna mood swings nyingi Sana, sasa hivi wakipenda hichi baada ya mda wakikinai
Aliesema mwalimu wenu ni kipofu yupo sahihi!
 
Anaeza fanya hayo yote kwa kuigiza ili atafune hela zako tu.... Wanawake ni viumbe havieleweki kabisaaaaa...

Ila ukiwa kapuku na akafanya hvo huyo atakuwa kakupenda kweli...
Unajua kuwa unafiki huwa haudumu? Awez igiza yote hayo kwa mda mrefu
 
Unajua kuwa unafiki huwa haudumu? Awez igiza yote hayo kwa mda mrefu

Mkuu do not be fooled... Mwanamke anaeza kaa na siri hata miaka 20,, anaeza zaa hata watoto 3 na wote sio wako na akajua ila aka fake...

Wanawake wengi ni female version ya Shetani
 
1. Hawezi kukuomba pesa ana aibu
2. Hukutafuta hata kama wewe usipomtafuta
3. Hakosi nauli ya kukufata popote pale ulipo, yupo tayari hata kumkopa kaka ake issue ni aje kukuona kama unamuhitaji
4. Haogopi kukuzalia hata kama huna pesa za kumtunza, anachohitaji ni muda wako
5. Hakufichi kitu, kila anachokutana nacho kwenye maisha yake hukuambia
6. Yuko tayari kuishi na wewe hata maisha ya kimaskini cha msingi umpe muda wako na umjali kwa kumpa imani njema yenye kujenga future yenu
7. Shida zako anachukulia kama zake
8. Hupenda ndugu zako
9. Mara nyingi kila unachomwambia hakupingi
10. Yuko tayari kufanya lolote sababu yako
11. Hukuhamasisha kufanya maendeleo na sio kutumia pesa hovyo
12. Haogopi kukutambulisha popote pale iwe kwa marafiki zake au ndugu zake
13. Hukuhamasisha kumcha MUNGU
14. Mfano ukimwambia tuachane, lazima akuulize, maswali haya

Nimekukosea nini? Kwanini? Naomba nisamehe kama nilikukwaza
 
Back
Top Bottom