Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 10,590
- 7,951
Mwanamme anayejitambua akili hali mtoriNdio Mkuu, tuendelee kula mtori.
Mwanamme anayejitambua akili hali mtoriNdio Mkuu, tuendelee kula mtori.
Of course lazima tutumie akili, mwanamme anayejitambua akili hawezi ishi na mwanamke asiye na maendeleo. Yaani mwanamke anaamka tu asubuhi hajichambi na kufuta shahawa alizomwagiwa na mumewe usiku anashinda kavaa khanga bila chupi akipita nyumba hadi nyumba kupiga story za umbea, hapigi mswaki, haogi mpaka usiku, muda wote yuko mitaani anasuka umbea na kuchunguza maisha ya majirani zake, huyu lazima utaishi naye kwa akili tu....hamna namna.Ishini nasi kwa akili sio kukariri
Eeh ukiwaendea kipesa utaipata ya fresh bora mwanamke akukatae tu live kwa kuwa huna ngawira kuliko kuforce kuwa nae kwa kulipia kama Luku 😅😅😅!Kijana anajipa matumaini kutokana na wabebez anaotoka nao.
Huyo mwanamke aniepuke in Jesus name,,can i hear Amen pls!!!Of course lazima tutumie akili, mwanamme anayejitambua akili hawezi ishi na mwanamke asiye na maendeleo. Yaani mwanamke anaamka tu asubuhi hajichambi na kufuta shahawa alizomwagiwa na mumewe usiku anashinda kavaa khanga bila chupi akipita nyumba hadi nyumba kupiga story za umbea, hapigi mswaki, haogi mpaka usiku, muda wote yuko mitaani anasuka umbea na kuchunguza maisha ya majirani zake, huyu lazima utaishi naye kwa akili tu....hamna namna.
Umempata wa kufanana nae, Ni chaguo lakoOf course lazima tutumie akili, mwanamme anayejitambua akili hawezi ishi na mwanamke asiye na maendeleo. Yaani mwanamke anaamka tu asubuhi hajichambi na kufuta shahawa alizomwagiwa na mumewe usiku anashinda kavaa khanga bila chupi akipita nyumba hadi nyumba kupiga story za umbea, hapigi mswaki, haogi mpaka usiku, muda wote yuko mitaani anasuka umbea na kuchunguza maisha ya majirani zake, huyu lazima utaishi naye kwa akili tu....hamna namna.
Amen, brother.Huyo mwanamke aniepuke in Jesus name,,can i hear Amen pls!!!
Iwe masipotaUmempata wa kufanana nae, Ni chaguo lako
TAFUTA HELA.....wanawake wa dizaini hii hakunaSio kazi ngumu sana kuelewa mwanamke anaekupenda kiukweli mwanamke anaekupenda kweli hawezi kukuomba wewe kitu chochote bali atachohitaji kutoka kwako sana sana ni muda wako na 'attention' yako kwake.
Hayo mengine kuhusu pesa, outing, shopping na mengineyo unatakiwa kujiongeza wewe kama mwanaume na sio kubweteka na kupendwa, kwa sababu mwanamke wako anahitaji matunzo vilevile.
Anachohitaji mwanamke ni wewe tu na muda wako. Wanawake wameumbwa na moyo 'strong' lakini katika suala la mapenzi na hisia wako 'sensitive' sana. Wanahitaji kupendwa na wanahitaji kuona akijaliwa.
Mwanamke akikupenda kweli kutoka moyoni mwake atahitaji awe na wewe muda mwingi, atakutext mara kwa mara, atakupigia simu every time when she feels she wants to talk to you.
Atakuwa kama mtoto mdogo anayehitaji kupendwa, kukumbatiwa, kubebwa na kutizamwa kwa umakini.
Mpende sana mwanamke wa aina hiyo, muda mwingine aweza kuwa anakufuatilia sana mpaka unajiuliza nina 'date' na shushushu ama nini? Ila unapaswa kutambua kuwa anakupenda kwa dhati na anataka ajihakikishie kuwa yupo peke yake kwako.
Ukipata mwanamke wa aina hiyo tulia, usimuumize wachana na mitambo mingine, utazunguka bucha zote lakini nyama ni ile ile sana sana utamaliza nauli yako na nguvu zako za kuzunguka kila bucha.
Umemaliza popcorn zangu asee1. Hawezi kukuomba pesa ana aibu
2. Hukutafuta hata kama wewe usipomtafuta
3. Hakosi nauli ya kukufata popote pale ulipo, yupo tayari hata kumkopa kaka ake issue ni aje kukuona kama unamuhitaji
4. Haogopi kukuzalia hata kama huna pesa za kumtunza, anachohitaji ni muda wako
5. Hakufichi kitu, kila anachokutana nacho kwenye maisha yake hukuambia
6. Yuko tayari kuishi na wewe hata maisha ya kimaskini cha msingi umpe muda wako na umjali kwa kumpa imani njema yenye kujenga future yenu
7. Shida zako anachukulia kama zake
8. Hupenda ndugu zako
9. Mara nyingi kila unachomwambia hakupingi
10. Yuko tayari kufanya lolote sababu yako
11. Hukuhamasisha kufanya maendeleo na sio kutumia pesa hovyo
12. Haogopi kukutambulisha popote pale iwe kwa marafiki zake au ndugu zake
13. Hukuhamasisha kumcha MUNGU
14. Mfano ukimwambia tuachane, lazima akuulize, maswali haya
Nimekukosea nini? Kwanini? Naomba nisamehe kama nilikukwaza


Amen🙏.....Kwa kweli kuna baadhi ya kina dada wanakatisha tamaa hata ya kuongea nao. Unakuta mdada hana la kufanya mjini lakini anang'ang'ana tu kubaki mjini ajipatie mume wa mtu wa kumuweka mjini, atamlisha mauza uza mpaka jamaa anakuja acha mkewe na kuishi na mdangaji atakayekuja kunyanyasa watoto wake aendapo kazini. Wanawake siku hizi ni wachafu na wachawi mno.Huyo mwanamke aniepuke in Jesus name,,can i hear Amen pls!!!
Hahahaha wanawake wa mjini wamelemazwa na wanaume wajinga 😅 wanaona wana stahili kulipiwa kila kitu wao wabandike kucha na kubadili style kitandani tu!Amen🙏.....Kwa kweli kuna baadhi ya kina dada wanakatisha tamaa hata ya kuongea nao. Unakuta mdada hana la kufanya mjini lakini anang'ang'ana tu kubaki mjini ajipatie mume wa mtu wa kumuweka mjini, atamlisha mauza uza mpaka jamaa anakuja acha mkewe na kuishi na mdangaji atakayekuja kunyanyasa watoto wake aendapo kazini. Wanawake siku hizi ni wachafu na wachawi mno.
Yaani nashindwa kuwaelewa hawa kina dada.Hahahaha wanawake wa mjini wamelemazwa na wanaume wajinga 😅 wanaona wana stahili kulipiwa kila kitu wao wabandike kucha na kubadili style kitandani tu!
Swala la kujishughulisha hapana wao wapange kageto walundikane jioni wakawinde wanaume kwenye ma bar makubwa mjini 😅
Ndio akili zao na neno Kudanga ndio biblia yao!Yaani nashindwa kuwaelewa hawa kina dada.