Nimepata mgeni jana wa kike, amelala kwangu na kesho anaondoka kuelekea kituo alipoajiriwa. Tulisoma wote kigoma na kwa sasa ameajiliwa hapa kijijini kwetu kikazi. Hamjui mtu huku tofauti na mimi. Hatukuwa na mahusiano ya kimapenzi na hata sasa sina mpango nae. Mke wangu kaniandikia meseji fupi 'nakupisha oa'. Ametoweka nyumbani kwa sharti kuwa lazima dada huyu aondoke leo hii. Nimfukuze mgeni au nianze kumsaka wife?. Nishaurini wana jf