Mama Brian
JF-Expert Member
- Feb 7, 2010
- 320
- 21
Huyo mkeo mpe siku 3 asiporudi nyumbani OA mgeni. Kwishney.
Teh teh teh! wewe Likasu wewe?
Huyo mkeo mpe siku 3 asiporudi nyumbani OA mgeni. Kwishney.
Hapa duniani kila kitu hutokea kwa sababu. Kuwa kwako na raha leo usione kwamba umefika na kusahau shida za wenzako. Huyo kaka alisoma na huyo dada na kwa kuwa wanafahamiana aliomba afikie hapo. Na kwa jibu wa Gervace hajatuambia kuwa huyo mgeni alifika bila taarifa au lah!! Jamani kuweni wavumilivu msianze kuhukumu maisha mnayajua hasa mtu anapoenda kuanza kazi. Na pia mwanamke kwa upande mwingine ataondokaje nyumbani alafu atume message kwenye simu? Kama kweli yeye ni genuine kwa nini asikae chini ajadiliane na mumewe? Asije kuwa alikuwa anatafuta sababu siku nyingi ya kuondoka kwa huyo mumewe na hii ndiyo kaipata. Kingine ni rahisi sana kusema fukuza bila kuangalia madhala ya upande wa pili.
Nimepata mgeni jana wa kike, amelala kwangu na kesho anaondoka kuelekea kituo alipoajiriwa. Tulisoma wote kigoma na kwa sasa ameajiliwa hapa kijijini kwetu kikazi. Hamjui mtu huku tofauti na mimi. Hatukuwa na mahusiano ya kimapenzi na hata sasa sina mpango nae. Mke wangu kaniandikia meseji fupi 'nakupisha oa'. Ametoweka nyumbani kwa sharti kuwa lazima dada huyu aondoke leo hii. Nimfukuze mgeni au nianze kumsaka wife?. Nishaurini wana jf
Mmmmmh! Mkuu kirahis hivyo?Huyo mkeo mpe siku 3 asiporudi nyumbani OA mgeni. Kwishney.
Fukuza mgeni kamtafute mkeo mimi ni mwanamke pia na imeshawahi kunitokea, ni upuuzi kukaribisha mtu asiye ndugu wa tumbo moja. ten fukuza haraka sana! la sicyo unaharibu ndoa yako.
Huyo mkeo mpe siku 3 asiporudi nyumbani OA mgeni. Kwishney.
Nimependa avatar yako, hiyo mimba bado kujifungua ?Mama hajiamini , na huyo mdada inategemea ana behave vipi? Wadada wengne ni wapana kama mapazia majumbani kwa watu. Kosa la mama ni kukimbia nyumba. Tafuta mama mweleweshe vizuri. Na huyo binti akae mbali na wewe. Usije haribu nyumba.
Huyo mkeo mpe siku 3 asiporudi nyumbani OA mgeni. Kwishney.
Wakumwitu wala siyo kwamba tunaraha then tunasahu wengine, Abiria chunga mzigo wako tahadhari kabla ya hatari mwenzangu aka!
Nimepata mgeni jana wa kike, amelala kwangu na kesho anaondoka kuelekea kituo alipoajiriwa. Tulisoma wote kigoma na kwa sasa ameajiliwa hapa kijijini kwetu kikazi. Hamjui mtu huku tofauti na mimi. Hatukuwa na mahusiano ya kimapenzi na hata sasa sina mpango nae. Mke wangu kaniandikia meseji fupi 'nakupisha oa'. Ametoweka nyumbani kwa sharti kuwa lazima dada huyu aondoke leo hii. Nimfukuze mgeni au nianze kumsaka wife?. Nishaurini wana jf