Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,119
Wengi wanakuaga na papara .... yaleti wangesubiri,mbona wangeula uroda maisha yote!!Wenyewe wanadai hivyo mkuu @Valentina
Wengi wanakuaga na papara .... yaleti wangesubiri,mbona wangeula uroda maisha yote!!Wenyewe wanadai hivyo mkuu @Valentina
Wengi wanakuaga na papara .... yaleti wangesubiri,mbona wangeula uroda maisha yote!!
Kama ni wa kwako ndio anakua hivyo.
Ishu ni Perception tu. (Mitazamo ya Watu) kuhusu hili.. Tumetofautiana kimitazamo kutokana na experience (uzoefu) tuliopitia katika Mahusiano yetu na wapenzi wetu. Hivyo kila mmoja Atakua na jibu lake kulingana na Alivyoishi na kumjua Mpenzi wake.
Mke wangu nilimsoma tangu awali sana, anapenda kupendwa kwa dhati, kuthaminiwa, kuheshimiwa hasa kutomsema vibaya badala ya kumuelewesha. Nimetimiza hayo na yeye ametimiza kwangu zaidi yangu. Na ndiyo maana tuna ndoa ya zaidi ya miaka 30 bila mikwaruzo. Kimsingi tunapendana. Watu wengi wanakuwa na mahusiano ya uoga hamuambiani ukweli, yaani ni unafiki!!! Kwa staili hii ni kutoelewana kwingi.
Wanawake wanapenda kweli,ukitaka kujua cheki wanavoipenda ccm yaani hata iwakere vipi bado wanaipenda
Mi naona ni kweli kabisa,ila unaetokea kumpenda kwa moyo wote ndo wala hana time na wewe. So sad. 
Mpaka kikaitwa kimoja ina mana kuna sifa moja inayowaweka group moja.
Mi naona ni kweli kabisa,ila unaetokea kumpenda kwa moyo wote ndo wala hana time na wewe. So sad. 😔
Mkuu unaongelea wanawake wa karne hii au??
Karne hii ya JK ufundi ni VETA mapenz PESA... Kama huna PESA wanawake wazuri utaishia kuwaita SHEMEJI.
Sio wote kuna wengine wasakaji tuuuu
Una maana wengine hata ukiwapenda hawapendeki?