Mwanamke ameniibia pesa na kuficha kwenye makalio yake

Mwanamke ameniibia pesa na kuficha kwenye makalio yake

Jamani hakuingiza kwenye tundu la mkund*u, alizibana katikati ya matako yake maana ana mzinga wa matako halafu umetepetela

  • kisha nikamtanua matako yake gafla nikaona mzigo umedondoka chini " Tiiiiiiiiii" kitu laki 2 amezikunja kisha kazibana kwenye mkun*ndu






 
Kwa hiyo unataka kuniambia wenye hayo makitu wote ni wezi eeeh! Asante kwa stori yako ila ka kweli ulitaka kutenda haki ungempa hako kalaki kamoja alipie gesti hiyo na chenji umwachie akanywe supu baada ya mechi ngumu. Si ndiyo ilikuwa nia yako au? Sa mbona unamwachia mijitusi tuu.
Siku nyingine ungemwalika tena mechi ya kirafiki hata ungeacha hapo mezani hachukui kwan anajua umemjua
 
Uzoefu na Somo kwa Michepuko Isiyoaminika ni kwamba iwapo Utakuwa na Mchepuko Usikubali Kuacha pesa zako kwenye pochi. Waweza Chukua Kidogo tu zingine ukaziacha kwenye gari au fanya Kuzisunda Kwenye Soksi then tupia Uvuguni kabla haujaanza Kumgegeda.

Baki na kama 20 tu..Hii Uifanye kwa timming anapoingia tu Chooni kunawa ww fanya zoezi hilo. Wanawake wengi Michepuko Hawaaminiki Chukua taadhali.
 
Uzoefu na Somo kwa Michepuko Isiyoaminika ni kwamba iwapo Utakuwa na Mchepuko Usikubali Kuacha pesa zako kwenye pochi. Waweza Chukua Kidogo tu zingine ukaziacha kwenye gari au fanya Kuzisunda Kwenye Soksi then tupia Uvuguni kabla haujaanza Kumgegeda.

Baki na kama 20 tu..Hii Uifanye kwa timming anapoingia tu Chooni kunawa ww fanya zoezi hilo. Wanawake wengi Michepuko Hawaaminiki Chukua taadhali.
Kuna mbinu nyingine nimegundua nahisi nitakuwa natumia, unamvizia ameenda chooni unachukuwa nguo yake au pochi yake kisha unaweka mzigo mle, baada ya mechi unamwambia samahani kuna mzigo wangu niliweka kwako naomba nichuke, atabaki mdomo wazi
 
WOW!..KUTOKA KUMWAGA CHOZI MPAKA ''BABY NILIKUWA NAKUTANIA''...iii
Si ndio hapo sasa chai inapokosa sukari????


Manaake kwa hali ya kawaida Angejua kinachofuata hapo ni mabanzi mengi sana hiyo nguvu ya kuleta za utani angekua nayo?
 
Hizo hela hazijatoka na uchafu? ulizishika kwa leso au kwa kuwa ni hela ukashika na mikono?

tukumbuke kunawa mikono kila mara tunaposhika pesa

The Boss;
Yaani jamaa kaniudhi mpaka baasi tu. Halafu si mda mrefu nilipokea pesa kutoka ATM halafu ka zimechakaa hivi nkadhani huenda ni hizo za huyu jamaa. Yaani nimeenda kunawa sijui ntafanyaje nisizishike hizi fedha. Mambo ingine si kusemea humu jamani yanaleta kinyaa ati.
 
WOW!..KUTOKA KUMWAGA CHOZI MPAKA ''BABY NILIKUWA NAKUTANIA''...iii
Mkuu unaweza kufikiri kama utani ila yule dada bonge la msanii, ngoja nimshawishi ajiunge na vikundi vya sanaa ya maigizo
 
The Boss;
Yaani jamaa kaniudhi mpaka baasi tu. Halafu si mda mrefu nilipokea pesa kutoka ATM halafu ka zimechakaa hivi nkadhani huenda ni hizo za huyu jamaa. Yaani nimeenda kunawa sijui ntafanyaje nisizishike hizi fedha. Mambo ingine si kusemea humu jamani yanaleta kinyaa ati.
Samahani mkuu nilikuwa nawatahadharisha tu, sirudii tena ila nimekaa nalo moyoni lilikuwa linanisumbua sana pia na tahadhari kuwa pesa hazina usalama sana kiafya
 
hiyo pesa uliiosha au uliibebaje? mmmm naskia harufu ya mavi hapa

aliibeba hivo hivo..wakati anamgegeda mbona ameshakula vichafu kuliko hata vile ambavyo amevibeba kwenye hizo hela za Mku...ni
 
aliibeba hivo hivo..wakati anamgegeda mbona ameshakula vichafu kuliko hata vile ambavyo amevibeba kwenye hizo hela za Mku...ni
Mkuu nitake radhi mie huwa sinyonyi vichafu ila chumvini nazama sio kule 0713
 
dooh!! dawa ungekuwa na masimbi kiroba, kama kweli ye mjanja aziibe sarafu za laki 2 azifiche huko mapango ya amboni.
Ila kwa style hiyo asee malipo yoyote kuanzia sasa napokea ki-elekitroniki kupitia benki na mitandao ya simu, maswala ya kushikishana noti zilizofichwa kwenye tanuru nooop.
 
Hee! hii kali kwahiyo ulihisi tu zimewekwa huko nyuma au na wewe ushawahi kuiba na kuweka huko? ulijuaje sasa? itabidi tuzichomeke ktk papuchi maana hiyo mbinu mmeshaijua
 
Hee! hii kali kwahiyo ulihisi tu zimewekwa huko nyuma au na wewe ushawahi kuiba na kuweka huko? ulijuaje sasa? itabidi tuzichomeke ktk papuchi maana hiyo mbinu mmeshaijua
Sijawahi kuskia hiyo mbinu popote pale ila akilli ilinijia kuna jama shule ya msingi aliwahi kuiba pesa akaficha ndani ya pua lake, nikahisi na huyu anaweza kuficha kutumia viungo, nilichokifanya mimi ni kuanza msako kila sehemu na bahati nzuri nilianzia sehemu aliyoficha.
 
dooh!! dawa ungekuwa na masimbi kiroba, kama kweli ye mjanja aziibe sarafu za laki 2 azifiche huko mapango ya amboni.
Ila kwa style hiyo asee malipo yoyote kuanzia sasa napokea ki-elekitroniki kupitia benki na mitandao ya simu, maswala ya kushikishana noti zilizofichwa kwenye tanuru nooop.
Ndiyo dada zetu hawa mara wafiche katikati ya matiti, mara makwapani, sasa huyu bonge wangu alitoa mpya kuweka kwenye matako
 
Sijawahi kuskia hiyo mbinu popote pale ila akilli ilinijia kuna jama shule ya msingi aliwahi kuiba pesa akaficha ndani ya pua lake, nikahisi na huyu anaweza kuficha kutumia viungo, nilichokifanya mimi ni kuanza msako kila sehemu na bahati nzuri nilianzia sehemu aliyoficha.

Na hela yenyewe ilikuwa ndo hiyo hiyo, ndo mana akili ilicharge fasta, hongera
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom