Mwanamke aliyetoa Mimba ana nuksi balaa

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,329
Reaction score
4,203
I will be short

ukitaka nuksi, tembea na mwanamke aliye toa mimba, yani amna kitu kitaenda, kama ni business kila siku mambo magumu, ukiajiliwa ndo kabisa, life utoboi

wanawake wengi walio toa mimba ndo wanaongoza kwa nuksi mjini,

Kama unabisha test zali, kama una demu ukipiga tu napata shida huliza story yake atakuwa history za mimba.

abortions ina deep ya fate mbaya.

mimi mwanamke aliye toa Mimba nikipiga, napata stress siku 3 na wengine nikiwa nao lazima shida zinipige, zakutosha
 
Abortion ni mauaji kama mengine tu. Most of them wana commit haya mambo and hawataki kutubu.
But suala la nuksi itategemeana na watu
 
Abortion ni mauaji kama mengine tu. Most of them wana commit haya mambo and hawataki kutubu.
But suala la nuksi itategemeana na watu
amini. wewe tu ufanyi uchunguzi ila wengi ni nuksi za hatari
 
none
kama mtu ana mtoto wangu amlete nimuoe
Ndio maana una stress kumbe huzalishi mpk unatafuta mwenye mimbaa yako umuoe

Pole sana yaani wanawake 8 na Hakuna aliewahi kukwambia anajisikia kichefuchefu 🤣🤣🤣🤣

Sorry for that unaonekana una stress kama sio huna uwezo wa kubebesha ujauzito basi wakipata mimba zako wanatoa

Suala la Abortion halihusianii na nuksi wewe…. Ingekuwa hivyo Hii dunia isingekuwa na watu wenye maendeleo asilimia 98% wanawake wengi wameshafanya abortion hata hizo P2 ni abortion kila njia unayotumia kuzuia watoto wasitungwe ni abortion
 
Mimi nimewai kudate na mwanamke tena nimemkuta Bikra akiwa chuo mwaka wa tatu,

Nilifanikiwa kuitoa Ile bikra, ila huwezi amini ndani ya mahusiano ya miaka miwili hakuna mafanikio yoyote ambayo nilipata.

Kila siku nilikuwa mtu wa kusolve matatizo Leo hiki kesho kile, sikutaka kumuacha kwasababu niliona Hana makosa na nimemkuta Bikra.

Balaa lilikuwa linakuja wakati tunaacha mambo yangu yananyooka ila nilirudiana nae tu changamoto haziishi.

Mara ya MWISHO namaliza kumgonga tu napokea simu babu Yako kafariki.

Nikiwa nae ndani gari nimepaki nje basi nikitoka nakuta kibaka kaiba site mirror au kavunja...

Sasa wakuu kumbe haya mambo yapo au ulikuwa mtazamo wangu tu?
Baba yake na huyu bint ni Askari polisi.
 
We kuku maji chai ya saa 7 hainyweki, gari umenunua na boom la chuo ambalo unalibajetia mtaji?
 
Utamjuaje Mwanamke kwamba huyu ametoa au huyu hajatoa mimba?
 
Sasa Unakuta mwingine hajatoa mimba wala kubeba, ila mikosi kama yote kuanzia babu na bibi zake. Mkuu we tafuta ambae hajatoa tu. Utatoboa maisha bila kufanya kazi hela zitakuja ndani
 
mwanamke yeyote mtoa mimba ni katili na mwenye roho mbaya sana ambae anaweza kukueliminate hata wewe mume wake.

ni vizuri kua makini sana 🐒
 
Rushwa mbaya mkuu. Malipo ni hapahapa duniani.
 
Gari umemiliki lini mkuu?
Mbona Kama chai hii?
 

Attachments

  • IMG_3155.png
    366.9 KB · Views: 33
Hafai ata katika Jambii ya Viumbe wanatunza watoto
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…