Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,613
- Thread starter
- #41
Wema Sepatu
Hahaha. Be nice, boss.
Wema Sepatu
Mi mwenyewe ndo nimeshangaa,sijui kama amesoma na kuelewa.Is that all you got?
Mi mwenyewe ndo nimeshangaa,sijui kama amesoma na kuelewa.
1. Awe mrembo wa Sura na Umbo hicho kigezo kinatosha.
Hivyo vingine huwezi kuvijua.
Well...well...i thought this was for the desperados.....anyway i got it....
hahahah kuna watu ni wachokozi jaman Monicca ni Mjana anauguza kidondaCc Monicca
Habari zenu.
Mimi ni kijana mtanzania, miaka zaidi ya 26. Hapa karibuni, rafiki zangu kadhaa wamepata watoto wao, na kusema ukweli ile excitement yao imenigusa mno. Mpaka umri huu, bado sina uhakika kama naweza kuwa mume bora, ila nina uhakika kabisa kuwa naweza kuwa baba bora. Hivyo basi, nimeona nitafute mwanamama aliye tayari humu, since nikitafuta huku "duniani" chances are higher that they will get emotional and ask for more.
Nahitaji mwanamama ambaye uhusiano wetu utakuwa ni parenting tu, kwa sasa. Awe mrembo wa sura na umbo; awe vizuri kichwani; awe na uwezo wa kujitegemea; awe mzima kimwili na kiafya; awe ametoka katika familia iliyostaarabika; awe ametoka katika familia isiyo na magonjwa ya kurithi; umri miaka 20-32; rangi ya kuvutia na asilia; urefu 165cm-172 awe na good sense of humour; awe msafi wa tabia na mazingira; na mengine tutajadili mbele ya safari.
Kwa mwenye sifa, karibu.
Niambie kwanza, hiyo shepu ya nguvu hapo kwenye avatar yako ni wewe??Tobaaaa mzee wa Ngel hata wew umekuja huku alafu cha kusikitisha na kuchekesha una 26 unata kudate na mtu wa 32 unataka kumtoa kafara mtoto wa mwanaume mwenzio au saiz yako bado yuko form sita anasoma
Kasinde sila wako ametotoka gerezani
Tobaaaa mzee wa Ngel hata wew umekuja huku alafu cha kusikitisha na kuchekesha una 26 unata kudate na mtu wa 32 unataka kumtoa kafara mtoto wa mwanaume mwenzio au saiz yako bado yuko form sita anasoma