Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,050
- 12,967
Mkuu Paulo uwe unaandika kiswahili kaka, nhua najibu kwenye mada zako nyingi kua kingereza kilitoweka kichwani mwangu toka mwaka jana baada ya matokeo ya uchaguzi kuonyesha Lowassa sio rais.
Binafsi hua unanivutia sana kwa hoja zako na uandishi wako mkuu. Hugombani na mtu na hata mtu akikuelewa vibaya na kukujibu vibaya unamjibu kiustaarabu. Ingawa unapendelea sana kimombo lakini hata ukiandika kiswahili bado unaandika hoja na uandishi mzuri.
Nikutakie kila la heri mtumishi.
Binafsi hua unanivutia sana kwa hoja zako na uandishi wako mkuu. Hugombani na mtu na hata mtu akikuelewa vibaya na kukujibu vibaya unamjibu kiustaarabu. Ingawa unapendelea sana kimombo lakini hata ukiandika kiswahili bado unaandika hoja na uandishi mzuri.
Nikutakie kila la heri mtumishi.