Mwanamke akiwa na harufu namuacha aisee

Mwanamke akiwa na harufu namuacha aisee

ni muhimu sana na ni vizuri kusaidiana na kuambiana ukweli mtupu gentleman, bila aibu wala kificho au kuvumilia harufu kali na mbaya sana.

Wanazisafisha sana na kuondoa bakteria wa kutunza mazingira ya nyuchi zao na kuvaa mavazi ya kiume kama vile suruali na hivyo nyuchi zinashindwa kupumua na matokeo yake nyuchi hizo huchacha ndani ya muda mfupi tu na kutoa harufu kali zaidi ya feri.

Tuambiane ukweli itasaidia sana,

na hata mabrazameni watanashati wa mjini na vijijini, wanalalamikiwa sana kwa harufu zao kali na mbaya sana za uvundo uliochachuka kwenye sehemu zao za siro.
Lakini pia hawaswaki kabisa.

Ni muhimu sana kwa wanaume kuzingatia hili pia na kulifanyia kazi, hii itasaidia sana kuimarisha mahusiano na kuondoa manung'uniko ya chini chini 🐒
GENTLEMAN,

Lecturer wangu...huyu ndie Lecturer wangu ninae mjua.

Ila Sasa akiwa KULE kutetea ugali wake 😁😂
 
Habari.

Mimi sijui nina shida gani wazoefu.

Nikibahatika kulala na mwanamke yoyote nikakutana na harufu kali Ile ya shombo nashindwa kuelewa sijui wanawake hawajijui kama baadhi wanatoa harufu.

Aisee hata niwe serious vipi na wewe kwa mahusiano Tutaachana Tu
Dawa yake uache umalaya(umeeleza mwenyewe kwamba ni mtu wa kubadilisha wanawake sana) Rudia ulichokiandika haporjuu.Oa/tulia na mtu wako mmoja aliye na "harufu"njema/anayenukia vizuri kadiri ya mapenzi yako.
 
GENTLEMAN,

Lecturer wangu...huyu ndie Lecturer wangu ninae mjua.

Ila Sasa akiwa KULE kutetea ugali wake 😁😂
Gentleman,
sikoseagi kokote nitakapokua,
kwasababu ninao ushauri muafaka, ninayo maoni binafsi, ninayo mawazo mapya na fikra mbadala karibu katika kila jambo la kijamii, kisiasa, kiuchumi, kitaifa na kimataifa,

Na kabisa,
sinaga uchoyo wala sijivungi kabisa kushirikisha uzoefu wangu au ubobevu wangu katika mambo hayo:NoGodNo:
 
Kuna Jamaa alikutana na hiyo harufu mbaya zaidi anadai alipiga ndole ,mbona ilibidi akifunge kidole bandeji Ili kukata shombo lakini wapi baada ya siku mbili ikibadi awe ananawia mafuta ya taa ndio ikakata.
 
Poleni sana mabinti wa kizazi cha sasa kwani mnagombea nafasi moja ya kuolewa na vijana wa sasa wanaowananga na kuwadhalilisha kutwa humu ili mkose kujiamini ili waolewe wao.

Kumekuwa na shinikizo kubwa la kuwasema na kuwadhalilisha ili msijiamini kama mabinti na ndio chanzo cha hizi threads nyingi humu JF za kuwa bully kutoka kwa vijana waliotoka kundini kawa mleta muanzisha uzi. 😂😂
Kisamaki noma mzee mwenzangu. Wajifanyie usafi na kutafuta tiba
 
Mwanaume ni kiongozi,unashindwa nini kumsaidia aondokane na hiyo harufu?
Wanaotema huwa wagumu wa kutoa mzigo kwa hofu ya kuachwa,means wanajijua!!

Mwanaume ni kiongozi ila siyo Gynecologist,anamsaidiaje?
 
Mbona leo zimejaa mada za harufu kwa wanawake....kulikoni?
Inanuka mkiambiwa ukweli mnanuna

Kongole kwa Mchepuko wangu anajua kuikosha nadhani haya madhira ni sehemu ya Medani zake
 
Inanuka mkiambiwa ukweli mnanuna

Kongole kwa Mchepuko wangu anajua kuikosha nadhani haya madhira ni sehemu ya Medani zake
Hongera zake mno ni hatua kubwa katika maendeleo ya taifa
 
Back
Top Bottom