....na ukweli kinachotakiwa ni PAPUCHI na si kingine...Loh ..mi niombe hata baada ya mwezi sawa.ila kesho yake tu??
Umefata papuchi sio mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda nikute bwawaBinafsi mwanamke nikimkuta akiwa na muonekanao huu lazima nikimbie hata kama namuhitaji kwa kiasi gani
Kope bandia
Nywele kashonea
Kucha bandia
Suluali yaani jeans imetoboka magotini
Sura imejaa make up
Hapo hata sijushughulishi nae
Je nyie wenzangu huwa muonekano upi unakufanya umkimbie mwanamke ikiwa unahitaji kumtongoza?
Noma sanaa...unakuja mpaka geto kwangu kucheza karata au kupiga story..??
Nlivokutongoza ukanikubalia ulitarajia nini..niwe kakako au?
Utatoa hutoi...
Hahaha vivulana vya siku hizi
Mapenzi yenyewe hawajui hata maanake nini..mi mwanaume akitanguliza kuomba papuchi nampa kibuti siku hiyo hiyo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sanaa...unakuja mpaka geto kwangu kucheza karata au kupiga story..??
Nlivokutongoza ukanikubalia ulitarajia nini..niwe kakako au?
Utatoa hutoi...
Hahaha vivulana vya siku hizi
Mapenzi yenyewe hawajui hata maanake nini..mi mwanaume akitanguliza kuomba papuchi nampa kibuti siku hiyo hiyo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah kwa matumizi ya disposable sawa, ila kupeleka kwa babaako mwanamke wa design hio ni matusi ya nguoniHao unaowakimbia wewe mi ndo nawataka..sitaki manzi mlokole mlokole
#WanawakeWanatakaMashine....za ATM na sio kitu kingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umetanua soko kidogo, jiandae tunakuja!Noma sanaa...unakuja mpaka geto kwangu kucheza karata au kupiga story..??
Nlivokutongoza ukanikubalia ulitarajia nini..niwe kakako au?
Utatoa hutoi...
Hahaha vivulana vya siku hizi
Mapenzi yenyewe hawajui hata maanake nini..mi mwanaume akitanguliza kuomba papuchi nampa kibuti siku hiyo hiyo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah hio inaitwa 90 Day Rule kule mamtoni. Ila yako hio ni 30 Days Rule. Unamchelewesha mwamba tu kama sio mvumilivu au hayupo serious ndani ya hizo siku lazima atasepa kimyakimya, ila kwa wavumilivu kupigwa mashine ni uhakika na kuachwa ni compulsory!Hapana..sio hivo
Unapokua na haraka unafanya mwanamke awe na mashaka.
Kama mwanamke umempenda kwa dhati na una malengo nae haraka ya nini?
Huyo ni wako tu..hata ipite mwezi huyo ni wako tu.
Mwanaume hushindwi kutongoza na ukaomba mzigo siku hiyo hiyo.....halafu kesho ankublock
Hivi fikiria reaction yake mwanamke akiomba hela muda mfupi baada ya kutongozwa?...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah si wana enhance muonekano mkuu, mie wangu nimemkata nywele yupo kama alivyokuwa form 4Hakuna mademu ninaowachukia kama wavaa mawimbi... Kwa wengi wao ni wabaya.. Hv demu umeumbika vizur sur ,kichwa hadi mwili.. Hilo wigi ni la kazi gani...?
Hahahah variables - Subjected to change!VITU NIPENDAVYO KWA MWANAMKE ATAEKUWA WANGU
1- maziwa makubwa
2- ute mweupe (creamy)
3-pumzi ndefu
4-mpishi mzuri na msafi
Uzi tayari...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa xpiriento yangu ndogo mwanamke mwenye mapigo ya "Ntakwambia", "Ntakujulisha", "Subiri ntakutafuta" ujue wala hakuwazii hata kidogo, hapo ni sawa sawa na kusubiri ndege TPA.Unaweza usiombe siku hiyohiyo ikapita hata wiki mbili ndio uombe lakni bado utaambiwa usiwe na haraka au mwanamke anakuambia nitakujulisha mimi, hiyo utasubiri mpaka jua lizame
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa utaratibu wako huo, ukikubali tu kwa mndewa atatengeneza mazingira ufike kwake tu. Ukifanikiwa kuingia ndani ujue umeisha. Salama yako uwe P!
Kwa xpiriento yangu ndogo mwanamke mwenye mapigo ya "Ntakwambia", "Ntakujulisha", "Subiri ntakutafuta" ujue wala hakuwazii hata kidogo, hapo ni sawa sawa na kusubiri ndege TPA.
Lakini papuch ni sehemu ya wwe. Umepewa bure toa bureLoh ..mi niombe hata baada ya mwezi sawa.ila kesho yake tu??
Umefata papuchi sio mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii naichukua. Nadhani itanisaidia mbele ya safariKwa xpiriento yangu ndogo mwanamke mwenye mapigo ya "Ntakwambia", "Ntakujulisha", "Subiri ntakutafuta" ujue wala hakuwazii hata kidogo, hapo ni sawa sawa na kusubiri ndege TPA.