Daughterrr
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 459
- 531
Kweli mmetofautiana kuna best angu alipata jamaa mmoja anaependa nywele ndefu akamwambia awe anasuka mana alikua ananyoa akaanza kusuka jamaa akawa ananunua na mawigi bila kuambiwa. KIZURI MACHONI PAKO NDUGU.Binafsi mwanamke nikimkuta akiwa na muonekanao huu lazima nikimbie hata kama namuhitaji kwa kiasi gani
Kope bandia
Nywele kashonea
Kucha bandia
Suluali yaani jeans imetoboka magotini
Sura imejaa make up
Hapo hata sijushughulishi nae
Je nyie wenzangu huwa muonekano upi unakufanya umkimbie mwanamke ikiwa unahitaji kumtongoza?