Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 167,279
- 185,557
Wataliwa vitu vyao vipi... Fafanua Kwa faida ya members...Wewe na huyo mwanamke "mnakula hela ya mwanaume" kuna siku nanyie mtaliwa vitu vyenu......
Wataliwa vitu vyao vipi... Fafanua Kwa faida ya members...Wewe na huyo mwanamke "mnakula hela ya mwanaume" kuna siku nanyie mtaliwa vitu vyenu......
Kwa hiyo sina haja ya kutumia nguvu...Nakupenda mimiiii 😔😔!
Ni kweli kabisa Mwanamke akipenda amependa!
Weeh Efe.. amekuwaje kwani??😁Madam nasaka anae nipenda kama wewe unavyopenda asee
Ingekuwa vema kama ungeongea na jamaa mwenyewe, kishkaji tu kuwa he aint shit, atafute utaratibu mwingineInakuwaje mwanaume hutakiwi na mwanamke na bado unamlazimisha , Mwanamke akikupenda huitaji nguvu nyingi dalili utaziona, Hapa ofisini jamaa analazimisha penzi kashakataliwa mara nyingi bado anafosi.
Binti akitumiwa message anakuja kunionesha Mimi, Tunakula ela za jamaa akitumiwa tunaenda kuinjoy.
Vitu vikiliwa tutapata koneksheni kwa faida ya members 😁Wataliwa vitu vyak vipi tena... Kwa faida ya members...
Yaan nakwambia utafirwa-hadi-ulie unakula pesa za mwanaume na unachekelea? Subiria-kufirwaBinti akitumiwa message anakuja kunionesha Mimi, Tunakula ela za jamaa akitumiwa tunaenda kuinjoy.
Itasikitisha sana... Mla mla Leo, mla Jana...Vitu vikiliwa tutapata koneksheni kwa faida ya members 😁
Mimi nikibaka nipate tu mwanamke kibaka kama mimi nimpende kufa na kupona , walokole washindwe kwa jina la yesu siwataki hata kuwona😅Efe.. amekuwaje kwani??
Ndiwo lo ! Wewe ndo unanifanya naringa humu ujue!!!Kwa hiyo sina haja ya kutumia nguvu...
Endelea kula hela za wanaume tuUjinga wako mwenyewe
Walokole kwa Mwaposa?Mimi nikibaka nipate tu mwanamke kibaka kama mimi nimpende kufa na kupona , walokole washindwe kwa jina la yesu siwataki hata kuwona😅
Jamaa kashambiwa sikutakiUnauza Hutu wako Kwa Bei Rahisi kiasi hicho
Kwanini usimwambie huyo manzi michezo ya kula Hela za watu zitamtokea puani
Wanawake walokole wote siwataki hata kuwaona kabisaWalokole kwa Mwaposa?
Jasho la mtu haliliwi kamwe utakuja kulipa.Inakuwaje mwanaume hutakiwi na mwanamke na bado unamlazimisha , Mwanamke akikupenda huitaji nguvu nyingi dalili utaziona, Hapa ofisini jamaa analazimisha penzi kashakataliwa mara nyingi bado anafosi.
Binti akitumiwa message anakuja kunionesha Mimi, Tunakula ela za jamaa akitumiwa tunaenda kuinjoy.
Nikikuonesha upendo wote asilimia zote utaanza kusumbua akili na moyo wangu...Ndiwo lo ! Wewe ndo unanifanya naringa humu ujue!!!
Mwanamke anapenda mdogo mdogo kadiri siku zinavokwenda upendo unaongezeka huku kwa mwanaume ni kinyume chake!!!
Nimependa hapo pa kupata kibaka mwenzio kama mi na Kibaka wangu burudaaaaaani kabisa 😁!Mimi nikibaka nipate tu mwanamke kibaka kama mimi nimpende kufa na kupona , walokole washindwe kwa jina la yesu siwataki hata kuwona😅