Mwanamke akiendesha baiskeli

Mwanamke akiendesha baiskeli

Sijui hata ni kwa nini nimemkumbuka, labda kwa sababu anapendaga kupost picha picha kama hizi!

Ila kwaresma inakaribia kuisha, maana Asprin na Bonny wanashinda kwenye maombi tu.
Hahahaa! Nikajua umeikumbuka ile baskeli yake aliyokuja nayo siku ileee kule mlimani.

Hao wanaoshinda kwenye maombi waache tu wanatubu.
 
Hahahaa! Nikajua umeikumbuka ile baskeli yake aliyokuja nayo siku ileee kule mlimani.

Hao wanaoshinda kwenye maombi waache tu wanatubu.

Ila ile baskeli ni noma, mlima inapanda kama boxer BM 150.
 
Sio tanzania hii ya sasa.Bodaboda zimejaa tele kwa nini baiskeli?
Nenda Shinyanga au Geita ndo ujuwe......bodaboda wanapanga na baiskeli lain moja.......alaf mabint wengi wa kisukuma baiskel zinawabikiri ,wanaanza kuendesha baiskel wangali wadogo.....
 
Atakuwa wa Kilombero huyu. Hakuna sehemu wanawake wanaendesha baisikeli kama Kilombero hapa Tanganyika.
 
Tumebakiza week mbili tu tutarud mie na mzee mwenzangu hapa Asprin na Waraka wetu maalumu.
Ewaaaa... tena tumeshapata maingizo mapya ya kuuoboresha.

Hata wale wakina KitilaMkumbo wetu waliokuwa wanatupinga kila siku tumewashirikisha kwa hiari yao.
 
Back
Top Bottom