Mwanamke mwenye umri wa miaka 36, makazi wa Mtaa wa Kilimanjaro, Kata ya Kihonda – Morogoro, amefariki dunia akidaida kufanya jaribio la kutoa ujauzito.
Nini kifanyike ili kuzuia matukio kama haya yasitokee?
Mbona ni mama wa makamo kwa nini ahangaike kutoa mimba kama mabinti? Alibakwa na kupata mimba asiyoitaka? Pumbavu zake ni mpuuzi, kama hakubakwa na alitafunwa kwa hiari yake bila kinga hakujua matokeo yake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.