Bonnie1974
JF-Expert Member
- Mar 19, 2008
- 407
- 16
Hi MamaNa wanaume watulie kwani umesikia amekutana na mtoto? Si mume wa rafiki yeke
Correct your statement.
Ni lini binadamu tutatulia na kuwa waaminifu!
Longtime
Kuna mambo matatu hapa:
1.Ugonjwa:Tunachukuana bila kujua background za kiafya za yule unapiganae mechi.
2.Overexcitement:
3.Tego
Lakini jingine la msingi ni kwamba WANANDOA WAACHE KUELEZA MATATIZO YAO YA CHUMBANI.Inawezekana hayo mahusiano yalianza baada ya MAMA KULALAMIKA KWA SHEMEJI YAKE kuwa bamsap wake hamtoshelezi,na SHEMEJI naye inawezekana ni FUNDI kampa utamu mama(overexcited) mpaka mapigo ya moyo yakafika mwisho,kama ni mshale ulishafika kwenye max na bado SHEMEJI anaendelea kugandamiza.
LAKINI PIA KUNA SUALA LA IMANI.
Wanatheolojia wanasema kinachomatter kwenye suala zima la SAFARI YA KWENDA MBINGUNI ni kwa jinsi gani UNATUMIA NAFASI YAKO YA MWISHO.
Meaning wakati wako wa YALE MASAA YAKO YA MWISHO.
Yule Mnyang'anyi alikuwa mnyang'anyi kwa maisha yake yote,lakini ile saa ya mwisho wakati yupo msalabani na YESU alitubu na kumwomba YESU asimsahau katika ufalme wa MUNGU,AKASAMEHAWA NA AKAPEWA ASSURANCE YA KUCHEZA KWENYE KIFUA CHA IBRAHIMU.
Lakini wakristo wanakumbuka Maisha ya ngono aliyoishi mke wa Farao ,yeye alipewa nafasi ya kama ile ya Mnyang'anyi ,badala yake ALIMSHAURI MWANAE AOMBE KICHWA CHA NABII.
Inawe