Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Mama mmoja anayeishi huko kibaha na alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mlokole wa kanisa la kilokole picha ya ndege amefariki baada ya kutembea na rafiki wa mumewe.
jamani tego zingine mbaya kabisa.ni lini wake zetu watatulia?
jamani tego zingine mbaya kabisa.ni lini wake zetu watatulia?