Mwanamke afariki baada ya kufanya mapenzi nje Ndoa

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Feb 18, 2009
3,930
4,893
Mama mmoja anayeishi huko kibaha na alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mlokole wa kanisa la kilokole picha ya ndege amefariki baada ya kutembea na rafiki wa mumewe.


jamani tego zingine mbaya kabisa.ni lini wake zetu watatulia?
 
Mama mmoja anayeishi huko kibaha na alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mlokole wa kanisa la kilokole picha ya ndege amefariki baada ya kutembea na rafiki wa mumewe.


jamani tego zingine mbaya kabisa.ni lini wake zetu watatulia?
Kumradhi,

Na aliyekuwa anatembea naye hakufa? Huyo ambaye umesema ni rafiki wa mumewe, hakuwa na mke?

Nachelea kusema "Rest In Peace" kwa marehemu....
 
Na wanaume watulie kwani umesikia amekutana na mtoto? Si mume wa rafiki yeke

Correct your statement.
Ni lini binadamu tutatulia na kuwa waaminifu!
 
Kumradhi,

Na aliyekuwa anatembea naye hakufa? Huyo ambaye umesema ni rafiki wa mumewe, hakuwa na mke?

Nachelea kusema "Rest In Peace" kwa marehemu....

no aliyekufa ni mwananmke na si mwanaume ambaye ni rafiki wa mume wa marehemu.
 
Alipata kitu kinaitwa coital hypertension alizidiwa utamu ,huwa inatokea mara nyingi kwa wanaume lakini na wanawake kwa hiyo hakuna tego
 
Na wanaume watulie kwani umesikia amekutana na mtoto? Si mume wa rafiki yeke

Correct your statement.
Ni lini binadamu tutatulia na kuwa waaminifu!
bravo mummy kwanza inawezekana huyo rafiki wa mumewe ndiye aliyemtia majaribuni mke wa rafiki yake , sasa inakuwaje chaku umseme mwanamke peke yake na tendo hilo wamelifanya wote? mhhhh give us a break kwanza umetoa kwenye gazeti gani? la udaku?
 
Alipata kitu kinaitwa coital hypertension alizidiwa utamu ,huwa inatokea mara nyingi kwa wanaume lakini na wanawake kwa hiyo hakuna tego
Ehe asante sana kwa ufafanuzi wako, sasa hiyo coital hypertention ndo nini kwa maelezo ya undani zaidi. Je dawa yake au kinga ni nini! ntashukuru sana kwa ufafanuo huo.
 
Mama mmoja anayeishi huko kibaha na alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mlokole wa kanisa la kilokole picha ya ndege amefariki baada ya kutembea na rafiki wa mumewe.
jamani tego zingine mbaya kabisa.ni lini wake zetu watatulia?
Kuna sababu nyingi zinazosababisha kifo. Kwa jinsi habari hii ilivyokuja, haiweki bayana uhusiano wa kifo cha huyo mama na kutembea kwake nje ya ndoa. Ninachosema ni kwamba inawezekana kweli ametembea nje ya ndoa yake, na inawezekana kweli amekufa; lakini mbona mleta habari hajaonyesha mahali kwamba alikufa kwa sababu ya kutembea nje ya ndoa? Je, amefia kitandani/kifuani? Je, amekufa immediately baada ya kutoka kwenye uzinzi? Na interval ilikuwa muda gani btn the two events? Inawezekana amekufa kwa sababu nyingine pamoja na kwamba amefanya mapenzi nje ya ndoa. Naombeni habari kamili.
 
bravo mummy kwanza inawezekana huyo rafiki wa mumewe ndiye aliyemtia majaribuni mke wa rafiki yake , sasa inakuwaje chaku umseme mwanamke peke yake na tendo hilo wamelifanya wote? mhhhh give us a break kwanza umetoa kwenye gazeti gani? la udaku?

NO justification!! Uzinzi ni uzinzi, awe ameanza mwanamke au mwanume!! Siku ya hukumu allah atawauliza waja wake mazingira ya kifo chake, huyu nae atajibu " Nilikuwa katikatika ya miraha nikashitukia usingizi unanipitia ndo jumla?"
God: Ulikuwa na nani?
Mzinzi: Na mume wa rafiki yangu
God: Koooooooooooooooooot!!
Haina haja ya kutafuta makosa mengine kv hilo peke yake linatosha na hakupata muda wa kutubu!!!
 
Hii habari ni udaku haina mashiko kama hatuna taarifa za kina zaidi
 
Ehe asante sana kwa ufafanuzi wako, sasa hiyo coital hypertention ndo nini kwa maelezo ya undani zaidi. Je dawa yake au kinga ni nini! ntashukuru sana kwa ufafanuo huo.

Hivi ndivyo nipendavyo penny hana muhali na mtu, ikiwa jambo halielewi haweki dukuduku moyoni anajiulizia,kwani kuliza si ujinga wahenga walisema uliza ujinga uerevuke .
 
Last edited:
Hivi ndivyo nipendavyo penny hana muhali na mtu, ikiwa jambo halielewi haweki dukuduku moyani anajiulizia,kwani kuliza si ujinga wahenga walisema uliza ujinga uerevuke .
Ndo maanake ndugu...angalia spelling zako pia.
 
Unaweza kuta huyu mtu alifariki kwa ajali, pengine wamejua tu kuwa alikuwa na mahusiano, basi wanakuja na vichwa vya habari utashangaa. Hii habari lengo lake ni kuuza gazeti la alasiri na leo wameuza kweli kweli.

It is sad, lakini that's how we make ends meet.
 
Hakika ukiwa mnafiki na Mungu atakudhalilisha mbele ya umati......na hata shetani anakukana kuwa hajakufundisha uzinzi huku akiwa mlokole ....unafiki dawa yao ni kuumbuliwa ............sasa anasubiria hukumu yake....kwa kweli ni aibu sana kwa ukoo wake mzima...
 
Mama mmoja anayeishi huko kibaha na alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mlokole wa kanisa la kilokole picha ya ndege amefariki baada ya kutembea na rafiki wa mumewe.

jamani tego zingine mbaya kabisa.ni lini wake zetu watatulia?
[/QUOTE]


Hivi kwa nini kila kosa la zinaa linamwendea mwanamke na hali mwanaume ndiye huwa mwanzilishi????

Tukijifanya hatujui chanzo cha tatizo/au kurushiana lawama basi kamwe hatutatua tatizo na ukimwi utaendelea kutufagia. Nimesema hivyo kwa sababu hizi:
1. Tunalia na madangulo lakini Mteja Mkubwa wa hili soko ni wanaume (shame on you!);
2. Huyo mwanamke wa mtu aliyekufa baada ya ngono alikuwa anafanya ngono na nani:rolleyes:, siyo mme wa mtu huyo???
3. Mara zote mume akishikwa ugoni, basi aibu ni ya mwanamke, why???
4. Akifuatwa kimada kuonywa aache tabia yake, atakujibu huyo mumeo ananifuata mwenyewe, tena kwa maringo makuuu anakujibu "Mfungie mumeo ndani"

Myanaume imekuwa kama mizumbukuu, inapelekwa tu, halafu ndo yenyewe ya kwanza kulaumu wanawake! syeeeee!!!

R.I.P mama.
 
Kuna sababu nyingi zinazosababisha kifo. Kwa jinsi habari hii ilivyokuja, haiweki bayana uhusiano wa kifo cha huyo mama na kutembea kwake nje ya ndoa. Ninachosema ni kwamba inawezekana kweli ametembea nje ya ndoa yake, na inawezekana kweli amekufa; lakini mbona mleta habari hajaonyesha mahali kwamba alikufa kwa sababu ya kutembea nje ya ndoa? Je, amefia kitandani/kifuani? Je, amekufa immediately baada ya kutoka kwenye uzinzi? Na interval ilikuwa muda gani btn the two events? Inawezekana amekufa kwa sababu nyingine pamoja na kwamba amefanya mapenzi nje ya ndoa. Naombeni habari kamili.

Thanks kwa kuhitaji ufafanuzi.The issue was Huyu mama alikuwa na anauza duka kibaha picha ya ndege ilipofika jiona akafunga duka lake hilo akaenda kwa huyo mgoni/rafiki wa mume wake kwa ajili ya kusaliti ndoa yake.

Hivyo wakati wapo kwenye zoezi hilo la kuvunja amri ya sita yule mke mtu akaanza kubadilika kiafya taaratibu mpaka mauti ya kumfika ndipo yule baba kwenda kuomba msaada kwa majirani.

Na jamaa kwa mjibu wa majirani alikuwa kiwembe kishenzi kwa wake wa watu hivyo ni kama mungu amemuonya kwa tabia yake mbaya. na jama alikuwa anaitwa Mapunda mpaka hivi ninavyoongea yupo chini ya ulinzi wa polisi asije uliwa.

hopefull nimeeleweka.
 
Ehe asante sana kwa ufafanuzi wako, sasa hiyo coital hypertention ndo nini kwa maelezo ya undani zaidi. Je dawa yake au kinga ni nini! ntashukuru sana kwa ufafanuo huo.

penny na wewe wataka kulianzisha? mara nyingi magonjwa kama haya yanayohusiana na moyo huwa kinga yake si rahisi mazingira ya wakati huo yakiruhusu tu moyo unajirestisha in pisi.

Back to the topic. huyu mwanamke pengine alikuwa akikosa uhondo fulani toka kwa mume alipogundua kuwa rafiki ya mume anamiliki uhondo huo akahamia huko! wakati mwingine anaekutwa na ngozi ndio anaehukumiwa kwa kula nyama, lakini yawezekana kabisa kishawishi cha kutoka nje kilitokana na mume, anyway al in al wote ni wakosaji, mke ataanza kuhukumumiwa mwa Mungu wakati yule mzinzi mume yeye aanza na kichapo cha hapa hapa duniani then kwa Mungu kiko pale pale!
 
Mama mmoja anayeishi huko kibaha na alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na mlokole wa kanisa la kilokole picha ya ndege amefariki baada ya kutembea na rafiki wa mumewe.

jamani tego zingine mbaya kabisa.ni lini wake zetu watatulia?
[/QUOTE]


Hivi kwa nini kila kosa la zinaa linamwendea mwanamke na hali mwanaume ndiye huwa mwanzilishi????

Tukijifanya hatujui chanzo cha tatizo/au kurushiana lawama basi kamwe hatutatua tatizo na ukimwi utaendelea kutufagia. Nimesema hivyo kwa sababu hizi:
1. Tunalia na madangulo lakini Mteja Mkubwa wa hili soko ni wanaume (shame on you!);
2. Huyo mwanamke wa mtu aliyekufa baada ya ngono alikuwa anafanya ngono na nani:rolleyes:, siyo mme wa mtu huyo???
3. Mara zote mume akishikwa ugoni, basi aibu ni ya mwanamke, why???
4. Akifuatwa kimada kuonywa aache tabia yake, atakujibu huyo mumeo ananifuata mwenyewe, tena kwa maringo makuuu anakujibu "Mfungie mumeo ndani"

Myanaume imekuwa kama mizumbukuu, inapelekwa tu, halafu ndo yenyewe ya kwanza kulaumu wanawake! syeeeee!!!

R.I.P mama.

LAZIMA UKITONGOZWA UKUBALI?KAZI YA MWANAUME NI KUTONGOZA HIVYO MWENYE KUVUA NGUO HAPO NI MWANAMKE NDO MAANA LAWAMA HAITAKUJA KUISHA KUWALAUMU HAO WANAWAKE.

KUTONGOZWA NI SEHEMU YA MAISHA YAO KUKUBALI NI MAAMUZI YA MWANAMKE.HIVYO MWANAMKE ANAKOSA KUBWA!!

SWALI NI KWAMBA HALIZIKI NA MUMEWE?AU KUNA TAMAA NYINGINE ZAIDI YA HILO.
 
Back
Top Bottom