Mwanamke abeba bangi mgongoni kama mtoto!

Mwanamke abeba bangi mgongoni kama mtoto!

Aisee huyu mama ni creative sana watakuwa wamemchoma si bure ni vigumu sana kugundua hizo mambo
 
Next time watakuja na mbinu nyingine, huenda wakaweka kwenye diapers za watoto wanao wabeba. Kidumu chama cha masela!
Kuna alikuwa anapeleka bhangi Kenya anaweka kwenye mkoba wa vitambaa vyenye mavi ya mtoto juu polisi wa Kenya wakitaka kukagua wanaacha.
 
Kuna watu wamemchoma huyu mmama,kwa mbinu hiyo ni vigumu kutambua.Njaa huleta maarifa mengi (yenye tija na yasiyo heri)



Uh wapi bana, hata mi ningemtmbua, mtoto gani hata miguuu hana?
 
Wabunifu kama hao ndio wanahitajika hapa duniani
ningekua mie ndo nimemkamata,ningechukua bangi,ningemrudishia garama zake na kumuacha aende zake,mwanamke kufanya hayo ujue mambo ni magumu sana,ukizngatia bangi zenyewe tunavuta wanausalama
 
ningekua mie ndo nimemkamata,ningechukua bangi,ningemrudishia garama zake na kumuacha aende zake,mwanamke kufanya hayo ujue mambo ni magumu sana,ukizngatia bangi zenyewe tunavuta wanausalama
Hahaaaaaa umetisha aisee
 
Kuna watu wamemchoma huyu mmama,kwa mbinu hiyo ni vigumu kutambua.Njaa huleta maarifa mengi (yenye tija na yasiyo heri)



Uh wapi bana, hata mi ningemtmbua, mtoto gani hata miguuu hana?
Ugendua? kwa sababu umeona hiyo picha.Ila katika pilika pilika na kelele ni ngumu kujua vitu kama hivi.Usifikirie ni rahisi mpaka wanakaa karibu watoe siri za watu kama hao la sivyo ni kazi zaidi ya unavyojipa moyo hapo sasa.Tembelea zaidi uswazi ujifunze mengi,acha kusimuliwa simuliwa.
 
Duuuuhhh huyo mama ni nomaaa ndio ni biashara haramu ila hyo njia ya usafirishaji ya aina yake
 
Hapo baada ya kukamatwa, ndio maana unaona hivyo.

Kabla ya kukamatwa huwezi stukia, unajua kwanini?

Hivyo ilivyo anapitishia kitenge au kanga, ambayo waliiondoa ili wampige picha kwa ajili ya kidhibiti.

Kuna watoto wanabebwa kama hivyo na wanafunikwa mpaka miguuni, huwezi jua miguu ilipo
kajitahidi ila tu miguu ya mtoto haionekan.miguu huwa nje
Teh teh teh hapo miguu ya mtoto ndo imemchoma!!! Haipo
Hapo baada ya kukamatwa, ndio maana unaona hivyo.

Kabla ya kukamatwa huwezi stukia, unajua kwanini?

Hivyo ilivyo anapitishia kitenge au kanga, ambayo waliiondoa ili wampige picha kwa ajili ya kidhibiti.

Kuna watoto wanabebwa kama hivyo na wanafunikwa mpaka miguuni, huwezi jua miguu ilipo
 
Inasikitisha sana kuona asilimia kubwa ya comment za hii mada wanamsifia huyo mama kwa mbinu ya usafirishaji bangi wakati bangi inaharibu maelfu ya nguvu kazi!! Kufanya kitu kinyume na sheria ni kosa,huyo mama afikishwe Kwenye mkono wa sheria na sheria ifuate mkondo wake.
 
Mama katisha bora wachukuwe hiyo ngada bi mdada wamuachie Zake kwa ubunifu wake anaweza kubuni kitu kizuri zaidi kikasaidia jamii ya masela
 
Back
Top Bottom