Nje ya Mada
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,399
- 492
Wewe imewahi kukuharibu!? Acha uzushi na unoko Dogo.Inasikitisha sana kuona asilimia kubwa ya comment za hii mada wanamsifia huyo mama kwa mbinu ya usafirishaji bangi wakati bangi inaharibu maelfu ya nguvu kazi!! Kufanya kitu kinyume na sheria ni kosa,huyo mama afikishwe Kwenye mkono wa sheria na sheria ifuate mkondo wake.