Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Imeonekana wazi ikiwa mwanamfalme Mohamed Bin Salman akaukwaa ufalme wa Saud Arabia kuna hatari mashariki ya kati kupata dikteta mbaya zaidi ya aliyekuwa Rais wa Iraq Saddam Hussein.
Mwanamfalme huo mwenye umri wa miaka 32 ameonyesha ukatili mbaya kwa vita vya Yemen ambapo mamilioni ya raia wameuwawa kinyama, kuua wapinzani na wanaharakati nchini Saudi Arabia,kutaka kuivamia Qatar na kuhusika kwake na mauuaji ya kikatili ya mwandishi wa habari Khashoghi katika ubalozi wa Saudi Arabia nchini Turkey.
Je ikiwa huyu mwanamfalme akiwa Mfalme wa Saudi Arabia dunia itegemee nini ?
Saudi crown prince's 'reformer' image fading amid Khashoggi crisis
Mwanamfalme huo mwenye umri wa miaka 32 ameonyesha ukatili mbaya kwa vita vya Yemen ambapo mamilioni ya raia wameuwawa kinyama, kuua wapinzani na wanaharakati nchini Saudi Arabia,kutaka kuivamia Qatar na kuhusika kwake na mauuaji ya kikatili ya mwandishi wa habari Khashoghi katika ubalozi wa Saudi Arabia nchini Turkey.
Je ikiwa huyu mwanamfalme akiwa Mfalme wa Saudi Arabia dunia itegemee nini ?
Saudi crown prince's 'reformer' image fading amid Khashoggi crisis