Carlos Valderrama
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 664
- 240
Wacha uongo nilikuwepo juzi huko Mabula ndiyo anapendwa.Nipo Kitangiri Mwanza.
Hapa ni UKAWA tu, watu sijui wamekasirishwa nanini!
Nyamagana ndo usiseme. Wenje anabeba asubuhi!
Wacha uongo nilikuwepo juzi huko Mabula ndiyo anapendwa.Nipo Kitangiri Mwanza.
Hapa ni UKAWA tu, watu sijui wamekasirishwa nanini!
Nyamagana ndo usiseme. Wenje anabeba asubuhi!
Hujasema uko wapi
Morogoro town ni Abood tu. Halmashauri inaenda Ccm na urais Magufuli
Nipo kikwajuni znz hapa ubunge salum mwalim ila rais Shein
Nipo hapa msm mjini' hali ni mbaya sana kwa vicent nyerere kwani matayo ambae alikuwa hakubaliki hapo awali anaonekana kukubalikika sana kupita kiasi hivyo tutegemee ushindi kwa ccm
Chadema wamehitimisha campaign Rorya(Shirati). Huku Polisi wakimpiga risasi mwana Chadema hali iliyozuwa vurumai. Majeruhi amechangiwa na wana chadema amekimbizwa Bugando Hospitali
Nimekaa na baadhi ya watu nimesikia kwamba Shein tayari kawa rais na mipango ya kuapishwa ndio inashughulikiwa.
Du! Sasa hali ikoje kwa wakati huu nani anakubalika na nani hali yake ngumu katika harakati hizi?
Upo sawa haujakosea ndio habri ya znz