Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,630
mkuu diwani je?......
manushi si ndio aliko tokea Chami?....
Diwani ni Deo Mushi anasuburi kuapishwa. ndiyo, Chami kwao nI Hapa Manushi Sinde!
mkuu diwani je?......
manushi si ndio aliko tokea Chami?....
Nipo Musoma,Bunda , tarime na Serengeti kwa wiki ya 5 sasa - vijana wanywa viroba wote wanaimba CCM mbele kwa mbele, Halima Mdee ajiandae kutunza Moe wa pili, maana Esta Matiko na Bulaya soon watakuwa wake wenza,hali Heche ni mbaya sana kakodi wakenya kufanya fujo. Nyerere Vincent amekimbia jimbo yupo Dubai kwenye business zakeHahaaaaa yani nimecheka ET moshi mjin
Niko Karagwe, Nyakabanga. Hali ni 50:50. Maana yake ni kwamba, zile kura za vijijini walizozoea kupata CCM zitapungua kiasi kikubwa
Fuata maelekezo vinginevyo elimu ya Lowasa utaenda hata kwa lazima