'Mwanajeshi' aliyepiga picha na Lema afungwa jela miaka minne

Hii itakuwa imeingia kwenye historia kama moja ya kesi zilizochukua muda mfupi tangu tukio, kukamatwa, upelelezi, mashitaka, kusikilizwa shauri, hadi kutolewa hukumu. Hii sio kawaida kwa nchi hii. I agree something must be fishy.

Ukikiri kosa kesi inaishia hapo! Inabaki uamuzi wa Hakimu tu. Yule alikiri kosa akala miaka yake palepale! Mipaka lazima iwepo!
 
Hii itakuwa imeingia kwenye historia kama moja ya kesi zilizochukua muda mfupi tangu tukio, kukamatwa, upelelezi, mashitaka, kusikilizwa shauri, hadi kutolewa hukumu. Hii sio kawaida kwa nchi hii. I agree something must be fishy.

Jamaa kaharakisha mwenyewe hukumu kwa kukubali kosa.

Ukishakubali kosa hakimu afanye nini sasa? Anakupa hukumu tu.
 
- Ingekuwa hii kesi iliamuliwa na mahakama ya Kijeshi sawa, lakini ya Kiraia please Miaka Minne ni a little out of the line za ustaarabu na hasa kama ni kosa lake la kwanza, something is not very right here!!

le mutuz

Mjumbe wa CCM na Mwenyekiti wa CCM (kule Igunga) kwa umoja wao wanazishangaa Mahakama zao!!!!:bowl:
 
599784_464571190273470_1016292069_n.jpg

430928_109903545848532_1614025018_n.jpg
9709_209331452537196_801742473_n.jpg


406583_209331985870476_1524064033_n.jpg




Chanzo: Mwananchi - Januari 12, 2013

My Take...

Chadema mmesababisha kijana wa watu kaenda jela ni jukumu lenu kuitunza familia yake pamoja na kusomesha watoto wake.

unamtindio wa ubongo wewe ! ki vipi chadema inahusika, sana sana kama si chadema basi asingegundulika kuwa anatumia mavazi ya kijeshi kinyume cha sheria, hakutumwa na chadema kuvunja sheria, na kama alivunja sheria akahukumiwa na mahakama na mwenyewe kukiri kosa lake, basi hiyo ndiyo stahili yake, Ila wewe magamba kwa kuwa umezoea kuhalalisha ukosefu na uvunjaji sheria kuwa ni haki !! ndiyo maana unadai chadema wamumhudumie mhalifu kwa makosa aliyo kiri mwenyewe kuyatenda bila kutumwa na mtu.
 
I agree. The punishment doesn't fit the crime.

To set the record straight, miaka ya kutumikiwa jela ni miwili, sio minne. Minne concurrently as miwili miwili.

Kamanda alishasema yuko "down for whatever" ndio maana hata hakutaka kujitetea, which while being beside your point, figures into the narrative.

Question of equanimity and exactitude with regards to sentences and crimes is a complex one that deserves a fuller discussion than this one case allows.

The punishment does not fit the crime by which jurisprudence?

The Saudis will cut your arm for stealing something petty, citing holy writ. By their jurisprudence, the punishment fits the crime.

There is a need to establish not only an observation, but the vantage point and cosmogony of that observation.

Ukishangaa hii hukumu kama hiki ni kitu kipya katika mahakama za Tanzania utajionyesha tu usivyofahamu hukumu zetu.

Na kama hushangai, ila unasema tu, kuna haja ya kusema sio kwa kesi hii tu, bali kwa kesi za wezi wa kuku wote wanaofungwa miaka kadhaa jela kwa sababu tu mahakama hazina ubinadamu zaidi.
 
Ni kosa la jinai kujifanya mtu fulani wakati sio na kukutwa na nguo za jeshi. Hakushtakiwa kwa kupiga picha na mbunge. Pili si amekiri mlitaka mahakama iwaambie waendesha mashitaka walete mashaidi ili iweje?
 
Umeitoa wap hiyo habar!?
Kifungu kip cha sheria kimehusika kumfunga!?
Chadema hawakumlazimisha kupiga picha, ilikuwa ni hial na utash wake kama m2 mzima mwenye akil timamu.!

Pamoja na kujua kifungu, kwani zile sare zilikuwa na nembo ya JWTZ? siku hizi hizi nguo za kombati zipo mahala pengi. Pole sana muhusika kwani umekiri kosa.
 
- Huwa siendi kama Bendera, huwa naamua mwenyewe cha ksuema siambiwi au kufikiriwa na wengine!

le mutuz
Na hakuna aliyesema lolote kati ya hayo uliyoyaandika. Ajabu ni umewaza tofauti na kawaida yako ndiyo maana tulio wengi tunakushangaa.. Anyway, may be M4C imefanya kazi
 
- Ninataka kuamini kwamba we all agree kwamba huyu Kijana kwa kupiga picha akiwa na nguo za Jeshi ambao zimekutwa zikiwa na alama za JEshi letu ni makosa, lakini Miaka Minne Jela hapana siamini kabisa!

le mutuz

Ni kweli ila basi ni uonevu sana mkuu. Ila kwa mahesabu kwa kuwa anatumikia makosa yote concurent basi ni miaka miwili na kwa hasabu za magereza ni kama miezi 16 ambayo ni mwaka na nusu. Ila akitoka ni kamanda aliyekomaa kama Lema au vipi?
 

Hajasema ukweli wowote hapo ni unafiki wa kitoto wakujifanya anashangaa hukumu, kumbe anatukejeli hapa JF

Kumbe umempata aise Mzalendo80? Mi namjua fika ni Gamba lilikokomaa!!! Ila misimamo si anaijua hapa watu wanasema ukweli tu!! Nilitaka nipate more of his opinion!! Ila atatoka tu na matendo haya ya SSM ndiyo yatakihukumu vilivyo.
 
Kama huyu jamaa aliyevaa sare za 'jeshi' amefungwa miaka minne, sijui wale wana-kwaya wa Rose Muhando watafungwa miaka mingapi ???
 
To set the record straight, miaka ya kutumikiwa jela ni miwili, sio minne. Miwili consecutively.

Kamanda alishasema yuko "down for whatever" ndio maana hata hakutaka kujitetea, which while being beside the point, figures into the narrative.

The question of equanimity with regards to sentences and crimes is a complex one that deserves a fuller discussion than this one case allows.

The punishment does not fit the crime by which jurisprudence?

Kwa kosa au makosa yake, sidhani alistahili hata mwaka mzima jela.

The Saudis will cut your arm for stealing something petty, citing holy writ. By their jurisprudence, the punishment fits the crime.

Hao wanajulikana kwa ukandamizaji wa haki za binadamu. Ni sawa na huko kwingine ambako wanawake huhukumiwa vipigo vya mawe hadi kifo kisa wametoka nje ya ndoa zao. The punishment does not fit the crime. Udokozi au ugoni siyo sababu hata kidogo ya mtu kupoteza mkono wake au maisha yake by the jurisprudence of common sense and the civilized world.
 
Kwa kosa au makosa yake, sidhani alistahili hata mwaka mzima jela.



Hao wanajulikana kwa ukandamizaji wa haki za binadamu. Ni sawa na huko kwingine ambako wanawake huhukumiwa vipigo vya mawe hadi kifo kisa wametoka nje ya ndoa zao. The punishment does not fit the crime. Udokozi au ugoni siyo sababu hata kidogo ya mtu kupoteza mkono wake au maisha yake by the jurisprudence of common sense and the civilized world.

Mahakama zetu zinatoa uhuru mkubwa sana kwa mahakimu/ majaji kuamua. Kitu ambacho kinaweza kuwa kizuri au kibaya.

Kitu kingine, CHADEMA wameruhusu vipi huyu bwana kukiri makosa without a fight?

Mimi ningekuwa mwanasheria wa CHADEMA ningetaka hata kwa kutumia platform ya kesi hii kisiasa tu, ku highlight kero za msingi - as much as I detest the involvement of the military in politics, there are some valid arguments that could have been put to light- sasa sijaona kwamba CHADEMA wamemtendea haki.

Mahakimu nao wanaangalia. Mtu akijitetea sana, hata hukumu hupungua kwa kuupa tafakuri utetezi.

Lakini inaonekana jamaa ametaka kuwa martyr.

Hakimu kaona "mpe u martyr anaotaka".
 
599784_464571190273470_1016292069_n.jpg

430928_109903545848532_1614025018_n.jpg
9709_209331452537196_801742473_n.jpg


406583_209331985870476_1524064033_n.jpg




Chanzo: Mwananchi - Januari 12, 2013

My Take...

Chadema mmesababisha kijana wa watu kaenda jela ni jukumu lenu kuitunza familia yake pamoja na kusomesha watoto wake.

"Ukienda jela utakuta wimbi la watu masikini wamejaa, na kosa pekee linalowafanya kufungwa ni Umasikini Wao" - T. Lisu, Iringa 2013.
 
Luteni Jenerali Ndomba ambaye ni Ofisa wa Jeshi, amekuwa DC na RC akiwa afisa wa Jeshi (Luteni Kanali) hakuna aliyesema kitu. Moja kati ya majukumu yake akiwa DC ilikuwa kueneza itikadi ya CCM, lakini bado akiwa mwanajeshi, tena afisa wa juu.

Tunaona jinsi ambavyo Mwanajeshi Ndomba, katolewa kwenye ukuu wa mkoa na kurudishwa kwenye majukumu ya jeshini na kupanda cheo cha kijeshi na hadi kuwa Luteni Jenerali.

Hapa ameteuliwa kuwa Mkuu wa JKT baada ya kuwa DC na RC - vyeo vinavyoambatana na ukada wa CCM.
attachment.php

Na sasa ni Mnadhimu Mkuu wa JWTZ.

Akiwa mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa, kwa mujibu wa katiba ya CCM alikuwa mjumbe wa kamati ya siasa wilaya/mkoa, wakati huo huo ni mwanajeshi. (Hakuwa mstaafu wa Jeshi na mpaka leo hajastaafu Jeshi).
attachment.php



Na majukumu yake yanatajwa hapa:

Yaani pamoja na Uanajeshi wake jukumu lake lilikuwa kueneza itikadi ya CCM, tena kama kiongozi.

Na hapa hatuoni tatizo!!!!!!!!!!!!!!


attachment.php


Tusiwe na double standards please!
 
Back
Top Bottom