Mwanaidi Sinare Maajar - Balozi Mpya Marekani

............Huyu mama namsifu anajua kujichanganya sana na watu.
Kama kweli unaenda USA, nenda ukawasaidie wafungue matawi ya CCM kama ulivyoweza kusambaza UK.
 
............Huyu mama namsifu anajua kujichanganya sana na watu.
Kama kweli unaenda USA, nenda ukawasaidie wafungue matawi ya CCM kama ulivyoweza kusambaza UK.

Hatutaki mabalozi wanaotumia muda na funds za serikali kupendelea CCM. Kama anatak ku dabble kwenye party politics kama balozi wa watanzania tumsikie akifungua matawi ya CHADEMA na CUF pia. Ama sivyo aachane na shughuli za chama, kwani job description yake si ya kichamachama bali ni ya kiserikali, na hana kofia ya kichama.

Mabalozi ni mabalozi wa Tanzania, si mabalozi wa CCM.
 
Ni walewale warembo wa mkubwa. Mpeni hengera aendelee kuutumia mtaji wake vizuri!!
 
Kwa hiyo kazi yake kubwa ilikuwa ni kusimamia Chama ama Serikali?.Je Uk alikuwa anawawakilisha wana CCM au Watanzania wote bila kujali chama?.Je hakuna wanaupinzani Uk waliohitaji huduma yake?.Basi kama alikuwa akisimamia chama basi hafai kuwa Balozi.

Nawakilisha

Mimi nilifikiri balozi ni yule mkuu wa shina wa nyumba kumikumi kumbe anakula kodi zetu kufanya kazi za chama.
HATUFAI!!
 
- Huyu mama amekuwa akitaka kurudi nyumbani kulifufua shirika lake la sheria kwa muda mrefu sana sasa, nijuavyo ni kwamba yuko matayarishoni kurudi nyumbani bongo kwenye shirika lake la sheria na wala sio siri among the tops, maana huwa hafichi akiwa na wakulu in private!

- Sefue is doing a great job kule haendi kokote ni dua la kuku tu!

Respect.


FMEs!
 
Naomba niulize what are the criteria used to measure the performace of our Ambassadors and embassies.

Are our ambassador and embaassies used as intelligence ,economic , political.

How are we supposed to distinguish a good performing ambassador from a normal or unproductive one.
 
Hivi ile sheria inayowapa kikomo wafanyakazi kwenye balozi zetu wasikae zaidi ya miaka kadhaa huko nje unafuatiliwa kweli au basi ni sheria butu ambayo kila moja ana haki ya kuidharau?
 
G.T upo hapo? Unakumbuka nilikwambia nini?

GT hawezi kurudi hivi karibuni baada ya kuwashiwa moto na kuonekana m'mbeya flani hivi. Hata ile thread aliyoanzisha ilibidi white flag inyooshwe na Invisible mods. Kijana mzima kaadhirika, subiri amalize matanga.
 
Hongera mama Mwanaid Maajar!!! Ni mtu safi kwa utendaji!!!

Naomba unieleze vyema,Mama Majaar kafanya lipi jema kwa WATZ akiwa kama mwakilishi wetu hapa UK hadi ushupalie hivi kumsifia ndugu yangu Maane?

Au na wewe ni kama wale wale tukiwauliza kuwa mtu fulani mnayemsifia kafanya nini la tija kwa watz jibu lenu ni lile lile kama ni "mama msomi na ka-accomplish mengi zaidi ya akina mama wengine?"

Tumechoka na hizi bla bla zenu,kama JK anamhamisha Mama Maajar afanye hivyo kwa sababu ni kitu kilicho juu yake kikatiba,lkn haya maneno yenu kuwa ni Mama mchapa kazi huku mkishindwa kutaja hata kitu kimoja alichoifanyia TZ kwa yeye kuwepo pale UK kwa miaka zaidi ya 4 sasa nazidi kuwashangaa!

Kwa mfano,kashfa ya Rada UK kama nchi wameonyesha jinsi "tulivyopigwa"na huku nyumbani Mwendesha mashtaka Feleshi na Takukuru ya Hosea wanatuzuga watz kuwa HAWAJAPATA BADO JIBU TOKA UK eti ndiyo maana hawawezi washtaki watu!

Kama Mama Majaar angekuwa mchapa kazi mwenye uchungu na watz;kesi hii ya RADAR ingekuwa imekwisha anza kusikilizwa TZ maana angefuatilia maamuzi ya mahakama ya UK na kupeleka TZ walichoamua!

Kwa ufupi,Mama huyu hana lolote la kumtofautisha yeye na mabalozi wenzake toka huyu mpya Tsere hadi mkongwe Chokala!Wote wapo kwa maslahi yao na vigogo wenzao!
 
Hata mimi nakubali Her Excellency Maajar is an astute diplomat and a learned lady. No doubt. Even the husband Sharif Maajar is a brilliant person. Hana makuu wala mbwembwe mmanyema yule
 
Kwa wale wanaojua government workings aliyefungua hii thread hata kama ilikuwa ni kwa nia njema basi ajue kalikoroga,Serikali huwa hazipendi mtu kuzi jumpstart.Wadau mnakumbuka yaliyomkuta Balozi Juma Mwapachu enzi za Mzee Mkapa baada ya gazeti la Rai kudokeza uteuzi wake?

Uteuzi wa EL, Pinda was predicted na kweli waliteuliwa shida juuu ya nini?
 
Hata mimi nakubali Her Excellency Maajar is an astute diplomat and a learned lady. No doubt. Even the husband Sharif Maajar is a brilliant person. Hana makuu wala mbwembwe mmanyema yule


hiyo ni opinion yako
 
Uteuzi wa EL, Pinda was predicted na kweli waliteuliwa shida juuu ya nini?

Jamani kuna tofauti kati ya kuteuliwa na kubadilishwa kituo cha kazi!! Mama Maajar hateuliwi kuwa balozi wetu kokote atakakopelekwa bali inasemekana anahamishwa toka Uingereza; kwahiyo hakuna hata hiyo inayoitwa preemptive attack hapa kuwa ataukosahata huo ubalozi!
 
So sick buddy! JT is costing us with his dic k....Nadhani ni strategies za kuboresha mahusiano kwa faida ya Tanzania. Mama Kichwa sana UK ilikuwa haijawahi kuwa na muwakilishi makini mwenye kutetea maslahi ya nchi yake. Ubalozi wetu UK ameubadili sana hata attitude za watendaji pale.

Good to hear about those positive remarks for MSM. Natumaini ni za ukweli manake wengi ni wanazi.
 
- huyu mama amekuwa akitaka kurudi nyumbani kulifufua shirika lake la sheria kwa muda mrefu sana sasa, nijuavyo ni kwamba yuko matayarishoni kurudi nyumbani bongo kwenye shirika lake la sheria na wala sio siri among the tops, maana huwa hafichi akiwa na wakulu in private!

- sefue is doing a great job kule haendi kokote ni dua la kuku tu!

Respect.


fmes!
iangalie tawla ya sasa baada ya mh.majar kuiacha!!!! Aibu tupu org haina nuru , majungu kwenda mbele na sasa haina mwenyewe kabisa!!! Shame on you ladies baaada ya mwanaidi sinare majar
 
Back
Top Bottom