serikali bado haijafilisika! Ukisema imefilisika unakosea. Assets za serikali zina offset liabilities zake. Isitoshe, serikali inauwezo wa kutumia njia nyingi tu ili kupata fedha. Kuchelewa mishahara, kupunguza mishahara, kushuka kwa thamani ya shilingi, ni mambo ya kimkakati yamakusudi ku control uchumi wetu. mfumko wa bei uliopo ni wa muda tu, utapita kwa sababu kwa kiasi kikubwa unasababishwa na bei za vyakula. watu wakivuna, mfumko utashuka sana. japo kuna factors kama nishati etc