MwanaHalisi: Serikali hali ngumu - yaagiza kusitisha ajira na kutopandisha vyeo kuelekea 2012

Wadau;


Serikali yetu inayoongozwa na magamba sasa imedhihirika rasmi kwamba imefilisika. Mwanahalisi leo imeandika kwamba serikali iko hoi kifedha na imetoa nakala ya barua kutoka menejiment ya utumishi wa Umma ambayo ni taasisi chini ya Ofisui ya rais kwenda kwa makatibu Wakuu wote ikiwaagiza kwamba kutokana na ufinyu wa mapato ya serikali, ajira mpya zipunguzwe kwa asilimia 50.Upandishwaji vyeo nao upunguzwe kwa asilimia hiyo hiyo.

CCM KAZI KWISHA!!! WAMESHINDWA KABISA KUSIMAMIA NCHI!

Tumethubutu, tumeweza na sasa tunasonga mbele.
Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya
Maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana.
Tunatimiza kauli mbinu ya chama katika uchaguzi wa 2010
Source: Msanii Kikwete

 
5. ondoa wakuu wa mikoa, wilaya (itasave fedha ya kununua v8 30 kwa mikoa yote tz + v8/x zaidi ya 130 kwa wilaya zote tz)

6. futa posho za wabunge (hazina tija)

7. punguza safari za nje (nasikia safari moja inacost 250-300m)

8. rekebisha mirahaba ya madini kama ulivyoahidi 2005

9. angalia teuzi zako upya (mawaziri wengi hawana uelewa wa mambo tukianzia na wizara ya ghasia wengi tuliona mkulu alipofanya ziara pale na majibu ya mama [haelewi hata wizara yake inafanya nini na majbu yake yalikuwa tofauti mpaka watu wa chini walikuwa wakimsahihisha yaani haelewi hata hotuba aliyoandikwa inamaanisha nini, wizara ya Science ICT inasikitisha, mabalozi wanaoweza kuleta mabadiliko etc)


Hawa gasia ni shemeji yake mkuu kwahyo amepewa tu ni kanjanja,pili 250-300 mkuu ni ndogo sana mie nakumbuka msafara wa sumaye kipindi hicho ulikua unatumia mil500 sana nadhani watakua wanaenda kwenye 700-900m(Iflation rate 19.2%),vyeo vya ukurugenzi wa jiji,mkurugenzi wa wilaya,mkurugenzi wa mkoa havina tija,waweke kama mifumo ya marekani magavana tosha kufuta vyeo vya kipumbavu
 
Wadau;


Serikali yetu inayoongozwa na magamba sasa imedhihirika rasmi kwamba imefilisika. Mwanahalisi leo imeandika kwamba serikali iko hoi kifedha na imetoa nakala ya barua kutoka menejiment ya utumishi wa Umma ambayo ni taasisi chini ya Ofisui ya rais kwenda kwa makatibu Wakuu wote ikiwaagiza kwamba kutokana na ufinyu wa mapato ya serikali, ajira mpya zipunguzwe kwa asilimia 50.Upandishwaji vyeo nao upunguzwe kwa asilimia hiyo hiyo.

CCM KAZI KWISHA!!! WAMESHINDWA KABISA KUSIMAMIA NCHI!

Mie huwa nasema watu humu ndani wakati mwingine inabidi tuanze kuwapunguza mmoja baada ya mwingine tubakie wachache kwani tumejazana humu JF na kuona tuko wengi kumbe ni wachache sana, na mwenye thread hii sio miongoni mwao. Huwezi kusema nchi imefilisika wakati TRA kwa mwezi minimum wanakusanya Tshs 604 billion. Mishahara na marupu rupu ya wafanya kazi wa serikali ni Tshs 240 billion, hapo unasemaje ?

 
5. ondoa wakuu wa mikoa, wilaya (itasave fedha ya kununua v8 30 kwa mikoa yote tz + v8/x zaidi ya 130 kwa wilaya zote tz)

6. futa posho za wabunge (hazina tija)

7. punguza safari za nje (nasikia safari moja inacost 250-300m)

8. rekebisha mirahaba ya madini kama ulivyoahidi 2005

9. angalia teuzi zako upya (mawaziri wengi hawana uelewa wa mambo tukianzia na wizara ya ghasia wengi tuliona mkulu alipofanya ziara pale na majibu ya mama [haelewi hata wizara yake inafanya nini na majbu yake yalikuwa tofauti mpaka watu wa chini walikuwa wakimsahihisha yaani haelewi hata hotuba aliyoandikwa inamaanisha nini, wizara ya Science ICT inasikitisha, mabalozi wanaoweza kuleta mabadiliko etc)


....Uwezo wa kuboresha infrastructure zetu upo sana tu, lakini kutokana na hii Serikali taahira ambayo haijui vipaumbele vya Watanzania ndio matatizo yote haya yanatokea. Nchi yetu si maskini kabisa ila tuna viongozi ambao hawastahili kupewa hata ujumbe wa nyumba tano tano.
 
Si tuliambiwa ni Uchumi imara? Kumbe ni Uchumi Uchwara wa Ndullu na Mkullo.
kaka we ni jembe, nilisoma habari ya uchumi uchwara, we ni noma napenda kujifunza kutoka kwako kaka so kama huutajali naomba nipm tukafamiana kaka, ili kwangu iwe rahisi kujifunza mengi kutoka kwako. wewe ni mchambuzi kweli kweli.
 
pesa wanazo bana, TRA mbona wanakusanya mapato kuliko awali, wanataka kuiba kama hakuna haiwezekani sherehe za miaka50 zilitumia takribani bilion70, wanatumia masaburi kweli.. cost cutting only kwenye ajira mpya na kutopandisha watumishi ngazi.
kama kweli kwanini wasipunguzeo matumizi yasiyo ya lazima? rais kuwa na msafara wa magari zaidi ya kumi na tano
matumizi ya V8. wayauze watumie RAV4 kam nchi zingine duniani. safari nje ya nchi, ok kuna sehem nyingi za kupunguza matumizi..
 
....Uwezo wa kuboresha infrastructure zetu upo sana tu, lakini kutokana na hii Serikali taahira ambayo haijui vipaumbele vya Watanzania ndio matatizo yote haya yanatokea. Nchi yetu si maskini kabisa ila tuna viongozi ambao hawastahili kupewa hata ujumbe wa nyumba tano tano.

mkuu sasa hivi badala ya kuwaza kuleta maendeleo serikali inawaza jinsi ya kupata hela za kuwalipa wafanyakazi mishahara. Ni sawa kabisa na wazee wa pwani wakishakula jioni basi wameridhika wanavuta muda walale hawajui ya kesho, asubuhi wakiamka ndio wanaanza kuwaza leo familia itakula nini
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mie huwa nasema watu humu ndani wakati mwingine inabidi tuanze kuwapunguza mmoja baada ya mwingine tubakie wachache kwani tumejazana humu JF na kuona tuko wengi kumbe ni wachache sana, na mwenye thread hii sio miongoni mwao. Huwezi kusema nchi imefilisika wakati TRA kwa mwezi minimum wanakusanya Tshs 604 billion. Mishahara na marupu rupu ya wafanya kazi wa serikali ni Tshs 240 billion, hapo unasemaje ?

Kweli wewe ni Genius, kwa muono wako mambo yako fresh kabisa au siyo. Hongera sana!
 
mkuu sasa hivi badala ya kuwaza kuleta maendeleo serikali inawaza jinsi ya kupata hela za kuwalipa wafanyakazi mishahara. Ni sawa kabisa na wazee wa pwani wakishakula jioni basi wameridhika wanavuta muda walale hawajui ya kesho, asubuhi wakiamka ndio wanaanza kuwaza leo familia itakula nini


...Kupanga ni kuchagua Mkuu. walikwiba mabilioni ya pesa toka hazina na kuyapeleka CCM ili kugharamia kampeni za Rais na Wabunge katika uchaguzi wa 2010, sasa Serikali imefilisika. Nchi inayumba sana lakini wenyewe wanaona kama kila kitu kiko shwari kabisa.
 
Ngoja nisikilize wimbo wa Diamond Platinum uitwao ''Mawazo'' ili nitoe Mawazo ya shida a Nchi hii.

Naomba KUULIZA hv naruhusiwa kutukana huma JF.?

Nataka kuitukana serikali yangu ili niweze kuondoa kilichopo Moyonni mwangu
 
Serikali ipunguze matumizi kwa kufuta wizara ambazo hazina maana wala tija kwa taifa.
1. Wassira na Wizara yake ya uhusiano (haina tija kabisa)
2. Utawala bora (tayari tuna wizara ya katiba na sheria)
3. Uwezekezaji (tunayo wizara ya viwanda na biashara)
4. Wizara inayosimamia ajira - ifutwe kabisa hakuna kitu pale. Ajira gani wakati vijana wanauza viberiti ubungo mataa tena kwa kufukuzana na city?


Endapo mkuu wetu wa kaya angekuwa anasoma mawazo kama haya humu mtandaoni, hakika uchumi wa nchi ungekua kwa kasi na ungekuwa imara kwelikweli. Sasa haya yanaishia humuhumu...........!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kinachoendelea sasa ni kwamba kila kiongozi huwaza kuiba tu. TRA ndo wamezidi ufisadi sasa nani atamlaumu mwenzake? Mtoto feki wa mkulima haachi kujitapa kuwa tuna uchumi unaokuwa kwa kasi. Sasa yeye na bosi wake wataumbuka.
 
sumbawanga, nako mafuta ni kwa foleni, na kabla hujafika kwenye pampu unaambiwa mafuta yameisha... unaambia nenda kituo fulani nako huko unakuta foleni watu wanasubiri, kuna gari linakunya mafuta kwenye mapipa kama ishirini, nisikilizie hapo

wenyeji wanasema kipindi kama hiki mafuta yanafaulishwa na kuwekwa kwenye mapipa na baadaye inapotangazwa yameisha yanauza vichochoroni kwa sh 4000/= na hata zaidi kwa lita. Hakuna ujanja inabidi kununua maana hii nchi kama haina serikali, utadhani ni Goma zaire, wafanyabiashara wanafanya wanavyotaka

hakika "tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele.."
 
watu hawa watalipwa lini haki zao sasa? Mugabe na Gadaffi wameanguka.. Kuna tetesi ndiyo waliokuwa wakitoa fedha za kusaidia chaguzi kwa CCM sasa hawapo tena,ndiyo bajeti inapoanza kukongoroka hapo.. Wanaohitaji kupandishwa vyeo nao ni ishu jamani?!
 
Jamani nchi zenye demokrasia ya kweli kama Ireland na nyinginzo kama Turkey, Italy zina matatizo makubwa kuliko ya kwetu; mwenye ushauri namna ya kukabiliana na mfumuko wa bei atoe badala ya kulaumi tuu; JK siye anayekusanya Dollar huku mitaani na kwenda chini kununua maua ya plastic, bidhaa fake za umeme badala ya machine za kuzalisha. Uchumi unaangushwa na wafanya biashara kwa kuua uzalishaji wa ndani kwa bidhaa fake za bei rahisi.

Ushauri kwa Serikali waruhusu bidhaa muhimu tuu ziagize nje ya nchi hata kama kwa kufanya hivyo wataadhibiwa na WTO; hakuna haja kutumia pesa zetu za kigeni kuagiza mapambo ya plastic au viatu vya plastic
 
Back
Top Bottom