Mkomamanga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 815
- 189
Naona kama Wanatapa tapa vile mbona kilichoandikwa kwenye Mseto ni copy & Paste ya kilichoandikiwa kwenye Mwanahalisi Jumatano iliyopita.
Sasa nani anatapatapa? Mwanahalisi au Serikali? Kwa mwananchi ambaye hata hakuwa amesoma Mwanahalisi halafu akataka kulitafuta hawezi lipata tena maana limefungiwa....kumhabarisha ni kuchapisha makala zilizopelekea gazeti la Mwanahalisi kufungiwa...kama ni wewe ungefanya nini katika taaluma yako?