MwanaHALISI laibukia MSETO...

Duh, EMT hii nayo kali. Hivi haya magazeti yanapatikana mtandaoni?.
Halikuwa na tofauti sana na hili

DARMATESO.jpg
 
Dah! Heko nalo lilikuwa gazeti?

issue hapa ni kwamba hilo linawezekana. nakumbuka mara tu baada ya kufungiwa mwanahalisi kubenea alilitumia toleo la mseto lililofuata kurudia kuichapa tena habari iliyomfanya afungiwe.
 
Watalifungia nalo...

wataogopa maana itakuwa ni persecution. sasa hivi balozi nyingi za ulaya zimeishikia bango manahalisi ifunguliwe. serikali haitaweza kurudia tena kosa! at least not immediately.
 
wataogopa maana itakuwa ni persecution. sasa hivi balozi nyingi za ulaya zimeishikia bango manahalisi ifunguliwe. serikali haitaweza kurudia tena kosa! at least not immediately.

Huu ni ujinga mwingine, kwani hii nchi inaongozwa na mabalozi wa nchi nyingine au Serikali iliyopigiwa kura? Haya ndiyo mawazo ya Chadema kila Mara kukimbilia kwa mabalozi, japo sasa wanaogopa maana wataulizwa kuhusu kuteka na kutesa nani anawafadhili.
 
Namshauri ni bora afanye hivyo kuliko kusubiri m;samaha wa serikali ambao hatujui utakuja lini. Towards 1995 marehemu Ben Mtobwa alifanya hivyo wakati gazeti lake la Heko lilipofungiwa kwa muda. Alitumia gazeti lake jingine la Kalulu kuchapa habari ambazo zingechapwa na Heko.

Sioni kama kichwa habari kinaendana na unayoyasema.
 
wataogopa maana itakuwa ni persecution. sasa hivi balozi nyingi za ulaya zimeishikia bango manahalisi ifunguliwe. serikali haitaweza kurudia tena kosa! at least not immediately.

Mlevi hana aibu...
 
Back
Top Bottom