MwanaHALISI laibukia MSETO...

MwanaHALISI laibukia MSETO...

Asante kwa kutujulisha kumbe kila j5 tutakuwa tunakula habari za uchunguzi kama kawa.
Mimi nawashauri hali halisi puplishers wasajili magazeti kama 10 hiviliwepo ggazeti kaka,mjomba,binamu,nkazamjomba,kilembwe,mjukuu,shangazi,shemeji nk ili likifungiwa moja tuendelee kupata habari.

Ha ha haaaa...umenifurahisha mkuu...ati gazeti shemeji..ha ha ha
 
Naona sasa wanataka waandishi wakachore ukuta wa ikulu. Nafikiri wamechoka kutawala.
 
nasikia kuna gazeti litakalo kuwa mbadala wa Mwanahalisi kama juhudi za kulifungua Mwanahalisi zitashindikana gazeti litaitwa ''MESENJA''
 
Mseto lipo,kubenea ataendelea kutupia vitu mle ndani.
 
serikali badala ya kufanya uchunguzi inafungia gazeti,kwani kilichohusishwa na utekaji wa Dr Ulimboka ni serikali au ni Rama ambaye ni mfanyakazi wa serikali? mbona wanakurupuka hawa!!!!
 
Katika kile kinachoonekana ni kufuata ushauri wa JF katika kuhakikisha kuwa wananchi wanaendelea kupata habari zenye mshiko,leo Gazeti dada la MwanaHALISI la Mseto limebeba makala ya kisiasa tofauti na kawaida ya gazeti hilo kusheheni michezo.

Ukurasa wa mbele kabisa wa Mseto la leo kuna makala iliyoandikwa na Mhariri wa MwanaHALISI Comredi Jabir Idrissa yenye kichwa cha maneno 'Kilicholiponza MwanaHALISI ni hiki'.Katika makala hiyo,Idrissa anachambua kwakina makala zinazosemekana kuwa siliiudhi Serikali na kupelekea kufungiwa gazeti pendwa la MwanaHALISI.

Wakati huohuo,Gazeti la RaiaMwema linaloongozwa na Gwiji wa Uandishi, Jenerali Ulimwengu aka Mzee wa G55, nalo limejitokeza katika toleo la leo kupinga ubabe wa Serikali kufungiafungia magazeti ya kiuchunguzi. Aluta Continua...

Nashukuru kwa taarifa mhimu ili tuwajuze wengine ambao hawakuwa wanajua kuwa Mseto ni upande mwingine wa mwanahalisi.
 
Mseto ni gazeti la Halisi publishers linaloandika michezo, kwa hiyo ni la Kubenea nalo hutoka kila jumatano,ila wiki hii limeuza kwa angle ya kutoa sababu za Mwanahalis kufungiwa.kifupi hilo gazeti ndugu na lile la Mwanahalisi.
 
pouring syrup on a sh*t won't make it a pancake..serikali hii imechemsha siku nyingi hata wakijaribu kucover vipi migomo na malalamiko yatachomoza kila sehemu
 
serikali ze comedy.. mlalamikaji ndio huyo huyo na anaetoa hukumu ndio huyo huyo walishindwa nini kwenda mahakamani kama kweli walikuwa na hoja.
 
Chama Cha Mwabepande kinataka wananchi tuendelee kuwa 'zombies' ili wao waendelee kuibaka nchi yetu mbele na nyuma. Ndio maana kada wao Chigongo anapongezwa na kutolewa mfano na 'mfalme' kwa ujasiri wa uandishi wa magazeti yake ya ngono na kungonoka
Tukiwa tunatafakari na kutumia muda mwingi kungonoka, kungonoa na kungonolewa wao wanaibaka nchi!
Kulifungia Mwanahalisi ni dalili za mhalifu asiyejiamini pamoja na kuwa na dola
 
The correct words should have been "the way the cookie crumbles" as quoted from one of James Hadley Chase novels.
 
safi san kubenea naomba uanzishe na kitabu au kuandika makala kupitia magazeti ya kingereza huko nje ya nchi
 
Back
Top Bottom