Sioni sababu yoyote kwa Kubenea au gazeti lake la Mwanahalisi kuzusha habari hii. On top of that, ukweli kwamba Mbowe na viongozi wengine wa ngazi za juu Chadema wamepuuzia ishu ya "kupotea" kwa Ben, makes even more sense.
======
UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa masuala ya siasa wa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe sasa unazidi kuongezeka. Wanaandika Waandishi Wetu …. (endelea).
Taarifa zinasema Saanane ambaye haonekani nyumbani wala kazini, anaonekana kwa marafiki zake mitaani. Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya Chadema amesema, “Nina wasiwasi kama siyo mkakati binafsi wa kisiasa.
Kijana Saanane amekuwa akionesha kutaka kukwea madarakani haraka hata nje ya taratibu. Tafuteni tu mtaona.”
UPDATE: Inaelekea wanaharakati wa Chadema huko Facebook nao "wana taarifa kuwa Ben hajapotea" kwa sababu ghafla wameitosa kampeni yao ya [HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG], in similar manner kama Mbowe alivyozi-abandon "Operesheni UKUTA Toleo la Kwanza" "Operesheni UKUTA Toleo la Pili" na hii ya majuzi "Operesheni KATA FUNUA." Usiamini maneno yangu, nenda Facebook, angalia posts za "vinara" wa [HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG] utamaizi ninachoeleza
daaaah....Unakata mti unatengeneza karatasi then unaandika gazeti la namna hii.....Ni mara mia bora huo mti ungeachwa tumbili waning'inie watalii waje tupate pesa za kigeni......
Mwanahalisi lina uwezo
Si lilifichua mawasiliano ya Dr kabla ya kutekwa je mawasiliano ya Ben kabla ya kupotea hawawezi kuyapata kama walivyopata ya Dr
Kwa kipindi kirefu sana zimekuwepo tuhuma hapa kuwa ben saanane anatembea na sumu mfukoni kwa lengo la kuwalisha wenzake anaoyofautiana nao mtazamo tena vijana wa chadema. Huyu kijana hana roho ya kawaida
Ngoja mi niendelee tu kuishi maisha yangu coz huu upotoshaji wa namna hii kila nikiutafakar kichwa huwa kinauma sana bt all in all Magu should get bck our Ben.