Ahojiwe tu aeleze alikopata hizo taarifa na wahusika wakamatwe.gazeti hilo ni lenu...na akiitwa kuhojiwa mtaanza kubinua midomo tunajua...
Natarajia Polisi kumhoji Mhariri wa hili gazeti na asipohojiwa basi kila mtu ajiongeze kupata majibu.
Fakenews ishakuwa tatizo la kidunia.
Juzi hapa wakaandika fakenews kuwa waziri wa ulinzi wa israel ameionya pakstan kutopeleka askari wake syria kwa kisingizio chochote kile na ikifanya hivyo israel itailipua syria kwa nyuklia,
habari ni fake,sijui pakstan hawakujua kuwa ni fake,waziri wa ulinzi wa pakstan akajibu,hata wao wana silaha hizo za nyuklia.
Fakenews zinaweza kuleta madhara makubwa yasiyotarajiwa.
this is fakenews
Hawawezi kujibu maswali fikirishi!Niliwauliza hapa je akitokea na akakiri kuwepo kwenye mikono ya mtandao wa Mbowe je CDM mtasemaje na je bado mtaiamini CDM? KIMYAAAA mpaka sasa.
Saanane 'hajapotea' ndio maana Polisi hawahangaiki kumtafuta.Kwanini police wasimuhoji mhariri wa hili gazeti?? Maaana tunamtaka ben wetu akiwa hai kabisaa
Basi ajionyeshe tu kama yuko hai.Kama ni kweli, Sipati picha kwa watokwa povu wa CDM,
Jamaa kakurupuka eti anakanusha!Hapana,hii habari ipo Mwanahalisi online hata mimi nimejiridhisha.
kama alijiteka atakuwa kajimaliza kisiasa pamoja na lichama lake maana watu sikuhizi hawapendi ujinga.Acha uvivu. Nenda kwenye tovuti ya Mwanahalisi utakuta habari hiyo. Tatizo sio fake news labda fake brains. Link hii hapa Utata mpya msaidizi wa Mbowe
Wewe ni mzembe au kipofu? Hii hapa ni nini? Utata mpya msaidizi wa Mbowe Au hujui kusoma?
Elungata, mwenzako Salary Slip ameandika humu kuwa kajiridhisha kwa kuiona habari hii Mwanahalisi Online. Ingia huko kajiridhishe.Fakenews ishakuwa tatizo la kidunia.
Juzi hapa wakaandika fakenews kuwa waziri wa ulinzi wa israel ameionya pakstan kutopeleka askari wake syria kwa kisingizio chochote kile na ikifanya hivyo israel itailipua syria kwa nyuklia,
habari ni fake,sijui pakstan hawakujua kuwa ni fake,waziri wa ulinzi wa pakstan akajibu,hata wao wana silaha hizo za nyuklia.
Fakenews zinaweza kuleta madhara makubwa yasiyotarajiwa.
this is fakenews