Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 14,703
- 7,907
Waganga waache ramli chonganishiDuuuuh pole Kwa wazazi
Mwanafunzi auliwa na wenzake,anayeitwa Yohana Amani Konki 17,kwa ramli ya mganga,kuwa kaiba simu
Waganga waache ramli chonganishiDuuuuh pole Kwa wazazi
Inasikitisha sana,pengine kijana angekuja kuwa daktari bingwa.Jamii yetu ili ipone, lazima ianze kuelewa uganga na ushirikina hauna msaada kwenye kutekeleza mambo yetu.
Imagine kama huyo kijana wamemsingizia halafu wakamuua. Maana hakuna evudence yoyote zaidi ya upuuzi wa mganga kuwachonganisha
Ni kanda ya ziwa au wapi pengine?Mwanafunzi auliwa na wenzake,anayeitwa Yohana Amani Konki 17,kwa ramli ya mganga,kuwa kaiba simu