pole kwa wafiwa.
Unaweza kuta mapenzi.
kajinyonga jana jioni bwana...mnyika kesi ilikuwa leo usubuuhi..
halafu no ujumbe ye alujifungia hostel rum akasababisha
labda alisha pata tetesi.poris wanasemaje?na marafiki wa karibu je!
so saad....so saaaaad
hata mimi naamini hivyo coz akina lulu are everywhere.
Poleni wafiwa, sijui marehemu aliwaza nini.