Mwanafunzi wa aina hii watanifanya nifungwe miaka 30

Deadbody

JF-Expert Member
May 30, 2015
4,276
6,586
Yani akipita mbele yangu,kuanzia nywele mpaka miguu yote inasisimka

19247954_650034601848612_4358720403341320049_n.jpg
 
We ni mwanaume mwenzetu,na kama unavyojua tuko wachache unapotulinganisha na wanawake!
Iwapo utafungwa leo,nguvu kazi ya uanaume itakuwa imepungua!
Namanisha nguvu kazi ya kuzalisha watoto na kuzalisha mali,na kama haitoshi wanaume ni wachache kiuwiano unapowalinganisha na wanawake!
Ukifungwa pengo lake litakosa spea,na kama haitoshi huyo mwanafunzi ukimwacha na mimba kuna uwezekano mkubwa akaitoa,na yewezekana mtoto atakayetolewa ni mwanaume!
Hivyo tunazidi kujimaliza wenyewe!
Vitani tunaenda siye,kazi ngumu siye na bado tufungwe!
Usituletee shoti ya uanaume mtaani,kwani ukosefu ukiwa korokoni utatengeneza new single mamas,orphans,widows na wazazi wasiyo na watoto!
Tuko wachache mtaani,usitufanye na wewe tukawa bidhaa adimu na mwisho tukawa extinct!
Ebu oa na ujifunze kuvumilia vishwawishi,ni kazi ngumu kwa rijali yeyote,ila ni bora ule maharage kila siku kwa uhuru,kuliko yale ya jela!View attachment 587803
 
1. Je Wajua Tundu Lissu Aliwatoa Gerezani BURE Wananchi 466 Wa Tarime Waliofungwa Kwa Kupinga Mwekezaji Asiwanyanganye Ardhi Yao?

2. Je Wajua Tundu Lissu Alishawai Kupigwa Marufuku Asikanyange Nyamongo Kwasababu Ya Harakati Zake Za Kuwatetea Wananchi Dhidi Ya Wawekezaji?

3. Je Wajua Tundu Lissu Alipambana Na Kaka Yake Alute Lissu Mahakamani Kwenye Kesi Ya Kupinga Ubunge Wa Lema, Alute Akiitetea CCM Na TL CHADEMA?

4. Je Wajua Tundu Lissu Akiwa JKT Itende Alidhaniwa Kuwa "Usalama Wa Taifa" Kutokana Na Tabia Yake Ya KUHOJI Bila Woga?

5. Je Wajua Tundu Lissu Alipambana Na Serikali Ya Mkapa ISIUZE Rufiji Delta Kwa Mwekezaji Nolan, Hadi Bank Ya EIB Ikagoma Kutoa Mkopo Kwa Nolan?

6. Je Wajua Mwaka 2004 Freeman Mbowe Alimuomba Tundu Lissu Ajiunge CHADEMA Baada Ya Kumtetea Chacha Wangwe Kwenye Kesi 10 Za Jinai?

7. Je Wajua Tundu Lissu Alianza Kushtakiwa Kwa "Uchochezi" Mwaka 2001 Na Mpaka Leo Hajawai Kukutwa Na Hatia?

8. Je Wajua Kwenye Kampeni 2010 Kikwete Aliwai Kusema Ni Heri Dr.Slaa Awe Rais Kuliko Tundu Lissu Awe Mbunge?

9. Je Wajua 70% Ya Kesi Anazozisimamia Tundu Lissu Halipwi Chochote Na Watu Anaowatetea, Yeye Hufurahi Akiona Mtu Haonewi Wala Kunyanyaswa?

10. Je Wajua Tundu Lissu Hutumia Mshahara Wake Wa Mbunge Kusafiri Maeneo Mbalimbali Nchini Kuwatetea Walalahoi BURE Mahakamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom