PreGE2025 Mwanafunzi UDSM: kusipokuwepo uwajibikaji mwananchi ndiye anadhurika, No reforms, No election itaiwajibisha serikali

PreGE2025 Mwanafunzi UDSM: kusipokuwepo uwajibikaji mwananchi ndiye anadhurika, No reforms, No election itaiwajibisha serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Martin Samson Abdul ameeeleza kuwa kampeni mbalimbali za uchaguzi zinazoendelea kuhimizwa nchini Tanzania zipo kwa maslahi ya nchi lakini akibainisha kuwa kampeni ya No Reforms No Election inaweza kuangaliwa kwa jicho la kipekee dhidi ya kampeni nyingine kutokana na faida zake.

Martin ameeleza hayo mwishoni mwa wiki wakati wanachuo wa UDSM wakizungumza na wanahabari juu ya mambo mbalimbali yanayoendelea nchini.

"Hakuna dhambi kusema 'Oktoba unatiki' hakuna dhambi ukisema 'No Reform No Election. Lakini kwa maslahi mapana ya nchi nikagundua 'No Reforms No Election' ina faida kubwa sana", ameeleza Martin.

 
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Martin Samson Abdul ameeeleza kuwa kampeni mbalimbali za uchaguzi zinazoendelea kuhimizwa nchini Tanzania zipo kwa maslahi ya nchi lakini akibainisha kuwa kampeni ya No Reforms No Election inaweza kuangaliwa kwa jicho la kipekee dhidi ya kampeni nyingine kutokana na faida zake

Martin ameeleza hayo mwishoni mwa wiki wakati wanachuo wa UDSM wakizungumza na wanahabari juu ya mambo mbalimbali yanayoendelea nchini

"Hakuna dhambi kusema 'Oktoba unatiki' hakuna dhambi ukisema 'No Reform No Election. Lakini kwa maslahi mapana ya nchi nikagundua 'No Reforms No Election' ina faida kubwa sana", ameeleza Martin




Chanzo: JAMBO TV
 
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Martin Samson Abdul ameeeleza kuwa kampeni mbalimbali za uchaguzi zinazoendelea kuhimizwa nchini Tanzania zipo kwa maslahi ya nchi lakini akibainisha kuwa kampeni ya No Reforms No Election inaweza kuangaliwa kwa jicho la kipekee dhidi ya kampeni nyingine kutokana na faida zake

Martin ameeleza hayo mwishoni mwa wiki wakati wanachuo wa UDSM wakizungumza na wanahabari juu ya mambo mbalimbali yanayoendelea nchini

"Hakuna dhambi kusema 'Oktoba unatiki' hakuna dhambi ukisema 'No Reform No Election. Lakini kwa maslahi mapana ya nchi nikagundua 'No Reforms No Election' ina faida kubwa sana", ameeleza Martin


Chanzo: JAMBO TV
Fact
 
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Martin Samson Abdul ameeeleza kuwa kampeni mbalimbali za uchaguzi zinazoendelea kuhimizwa nchini Tanzania zipo kwa maslahi ya nchi lakini akibainisha kuwa kampeni ya No Reforms No Election inaweza kuangaliwa kwa jicho la kipekee dhidi ya kampeni nyingine kutokana na faida zake.

Martin ameeleza hayo mwishoni mwa wiki wakati wanachuo wa UDSM wakizungumza na wanahabari juu ya mambo mbalimbali yanayoendelea nchini.

"Hakuna dhambi kusema 'Oktoba unatiki' hakuna dhambi ukisema 'No Reform No Election. Lakini kwa maslahi mapana ya nchi nikagundua 'No Reforms No Election' ina faida kubwa sana", ameeleza Martin.

View attachment 3379726
Mkurya huyu
 
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Martin Samson Abdul ameeeleza kuwa kampeni mbalimbali za uchaguzi zinazoendelea kuhimizwa nchini Tanzania zipo kwa maslahi ya nchi lakini akibainisha kuwa kampeni ya No Reforms No Election inaweza kuangaliwa kwa jicho la kipekee dhidi ya kampeni nyingine kutokana na faida zake.

Martin ameeleza hayo mwishoni mwa wiki wakati wanachuo wa UDSM wakizungumza na wanahabari juu ya mambo mbalimbali yanayoendelea nchini.

"Hakuna dhambi kusema 'Oktoba unatiki' hakuna dhambi ukisema 'No Reform No Election. Lakini kwa maslahi mapana ya nchi nikagundua 'No Reforms No Election' ina faida kubwa sana", ameeleza Martin.

View attachment 3379726
Taifa linahitaji vijana wenye AKILI TIMAMU kama hawa wenye uwezo wa kutafsiri nn maana ya kupelekwa shule na kusoma na matunda ya kusoma yakaonekana kichwani.Wapumbavu wasio na akili hawawezi kujua tafsiri sahihi ya AMANI,kijana huyu ametoa shule tosha ya tafsiri halisi ya AMANI.Hatuwazungumzii sana waliopita madarasani na wakatoka nje wakaenda zao bila chochote kichwani,kwa maneno mengine tunaweza kusema serikali au wazazi walipoteza pesa kusomesha ng'ombe ambayo haiwezi kureason Wala kuargue.
 
Amani ya toka moyoni, mtu anatembea ukimtazama machoni unahisi ana amani, lakini uhalisia waake ni tofauti kabisa.
 
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Martin Samson Abdul ameeeleza kuwa kampeni mbalimbali za uchaguzi zinazoendelea kuhimizwa nchini Tanzania zipo kwa maslahi ya nchi lakini akibainisha kuwa kampeni ya No Reforms No Election inaweza kuangaliwa kwa jicho la kipekee dhidi ya kampeni nyingine kutokana na faida zake.

Martin ameeleza hayo mwishoni mwa wiki wakati wanachuo wa UDSM wakizungumza na wanahabari juu ya mambo mbalimbali yanayoendelea nchini.

"Hakuna dhambi kusema 'Oktoba unatiki' hakuna dhambi ukisema 'No Reform No Election. Lakini kwa maslahi mapana ya nchi nikagundua 'No Reforms No Election' ina faida kubwa sana", ameeleza Martin.

View attachment 3379726
Maskini hapa jamaa atatengenezewa Ata discontinue huko, Chuo bado kuna kuvamiwa maana kwa kijana kama Huyu hawezi kuwa na ulinzi, anatrakiwa tu chap anafanywa vibaya

Besides, anaongea vitu vya msingi NRNE🤞bila mabadiliko hakuna uchaguzi
 
Back
Top Bottom