cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,654
- 188,870
Inasikitisha na kuumiza kwa kweli, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Mambo ya mapenzi,wake za watu
Na kudhulumiana pia watu wanatekana
Ova
Inasikitisha na kuumiza kwa kweli, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Mambo ya mapenzi,wake za watu
Na kudhulumiana pia watu wanatekana
Ova
ccm itatawala maisha tanzania,Huyu Mama itakuwa anakula nyama za watu Kama ilivyokuwa idi amini kipindi Cha vita.kwa Nini Kila siku wanapotea na haongei chochote
alikuwa anajihusisha na siasa? and most probably Chadema? tuanzie hapoMwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam kutoka shule ya uchumi jina lake ni Jimmy Mathias Bughado mkazi wa Tabora, ametoweka katika mazingira ya kutatanisha hajulikani alipo toka siku ya Alhamisi wiki iliyopita mpaka leo.
Alitoka mida ya jioni na kuaga kwamba anakwenda matembezi, hakurudi tena na hajulikani alipo.
Inasemekana katekwa na watu wasio julikana kwa atakayemuona atoe taarifa kituo chochote cha polisi au apige simu namba 0752746751View attachment 3079560View attachment 3079561