Mwanafunzi UDSM, Jimmy Mathias Bughado amepotea

Mwanafunzi UDSM, Jimmy Mathias Bughado amepotea

Huyu Mama itakuwa anakula nyama za watu Kama ilivyokuwa idi amini kipindi Cha vita.kwa Nini Kila siku wanapotea na haongei chochote
 
Kila atae potea katekwaa,vijana wengine wazizi wanatembea na wake za watu
 
Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam kutoka shule ya uchumi jina lake ni Jimmy Mathias Bughado mkazi wa Tabora, ametoweka katika mazingira ya kutatanisha hajulikani alipo toka siku ya Alhamisi wiki iliyopita mpaka leo. alitoka mida ya jioni na kuaga kwamba anakwenda matembezi, hakurudi tena na hajulikani alipo. inasemekana katekwa na watu wasio julikana kwa atakayemuona atoe taarifa kituo chochote cha polisi au apige simu namba 0752746751View attachment 3079560View attachment 3079561
Tayari.
Sema igweeeee
 
Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam kutoka shule ya uchumi jina lake ni Jimmy Mathias Bughado mkazi wa Tabora, ametoweka katika mazingira ya kutatanisha hajulikani alipo toka siku ya Alhamisi wiki iliyopita mpaka leo. alitoka mida ya jioni na kuaga kwamba anakwenda matembezi, hakurudi tena na hajulikani alipo. inasemekana katekwa na watu wasio julikana kwa atakayemuona atoe taarifa kituo chochote cha polisi au apige simu namba 0752746751View attachment 3079560View attachment 3079561
IGP kazi inaota majani soon!
 

Attachments

  • 5806715-7a078a9fd5271675756864da3e486f1f.mp4
    25.2 MB
Kichwa cha uzi umeandika amepotena ndani umeandika katekwa sasa amepotea au ametekwa?
 
Kama sio uzanzibar hamad masauni alikuwa awe nje ya baraza la mawaziri
 
ametoweka katika mazingira ya kutatanisha hajulikani alipo toka siku ya Alhamisi wiki iliyopita mpaka leo.
Unaposema ametoweka katika mazingira ya kutatanisha una maanisha nini?
Alitoka mida ya jioni na kuaga kwamba anakwenda matembezi, hakurudi tena na hajulikani alipo.
Wakati hapa umesema aliaga kwamba anakwenda ‘matembezini’.
Inasemekana katekwa na watu wasio julikana kwa atakayemuona atoe taarifa kituo chochote cha polisi au apige simu namba 0752746751
Kuna taarifa tatu togauti hapa umezitoa juu ya mtu mmoja;
Kutoweka
Kupotea
Kutekwa
Hapo lipi ni lipi?
Huwa tunajua kwamba mtu ametekwa baada ya watekaji kufanya mawasiliano wakithibitisha kuwa na mtu waliyemteka na kutoa sababu zao.
Pili, wanaweza wasiwasiliane au wasikiri lakini tukio la utekaji likawa limeshuhudiwa na watu wengine au dots zikaunganishwa na hivyo utekaji kuthibitika.
Au, kwa yanayoendelea hivi sasa huko, utekaji unaweza ukahusika ila baada ya kujua taarifa na mienendo kadhaa ya the missing person.
 
Mmejaribu kupita hospital au mochwari. Kuna ndugu yangu alitoweka hapo karibu week nzima hapatikani wala hakuna anayejua alipo baada ya kutafuta sana alikuwa ameshafariki kwa ajali ya gari siku 8 hapo survey na sababu hakukutwa na simu wala vitambulisho ikawa ngumu kutambua yeye ni nani wala kutoa taarifa kwa ndugu.
Duuuh poleee sanaaa!!!
 
Alipochukuliwa je kuna watu wamemuona!
Je alikuwa anajishugulisha na harakati za siasa hapo chuoni?

Ova
 
Taarifa haijatosheleza na ina ukakasii, Vyuo vimefungwa, wanafunzi wamesharudi makwao, au sehem nje na chuo, kwa ajiri ya Field.

Sasa ungeeleza wakati huu wa likizo, yeye alikua anaishi wapii, hiyo siku ya alhamic alisema anaenda matembezi wapiiii? Ili watu iwe rahisi kufatilia, vipi je marafiki zake na watu wa karibu wanasemeajee?

Kuna wimbi kubwa la vijana wa chuo, kutembea na wamama watu wazima, hasa wake za watu, kwa minajiri ya kupata posho na hela za matumizi wawapo chuoni.

Sasa isije kuwa alijichanganya vibayaa, mwenye mke kaamua kumgawanaa,

Unless kuwepo na tetesi kuwa alikua anafatiliwa na kuwindwa hapo mwanzoni.

Poleeee kwa Mkaka mzuriii, natamani apatikane akiwa salama kabisa.

 
Back
Top Bottom