Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,928
Kwenye mahusiano kuna mengi yaliyojificha ndani yake hasa unapodate watu hawaWallah mimi ningemtafuta mshana-jr tumfanyie mambo huyo binti mwenye roho mbayaaa kihivo simu kitu gani bwana tena usikute simu yenyewe tecno ya elfu sabini
-mabinti wasio na kazi maalum lakini wamepanga vyumba/nyumba na wanaishi mjini
-mabar maid
-wanafunzi na wana chuo hasa wanaoishi hostel au waliopanga mitaani haya ni makundi ambayo yana mahitaji makubwa ya pesa na hawana uwezo wa kupata zote kwa mmoja hivyo inabidi wawe na misururu ya mabwana
Ukiwa date hawa na ukadhani uko pekeyako unajitafutia kifo cha mapema