Mwanafunzi wa masters chuo Kikuu mzumbe main campus amejinyonga mpaka kufa.habari za mapema zinasema kuwa mwanafunzi huyo ambaye alikuwa anasoma uchumi amejinyonga baada ya matokeo kuonesha kuwa amedisco (matokeo yaliachiwa Jana) taarifa zaidi nitaendelea kufuatilia ila kwa sasa shughuli za mazishi zinaendelea nyumbani kwao Njombe.pole kwa familia ya marehemu na wanajumuia wote wa mzumbe.