Mwanafunzi afia kambini JKT Tabora

Mwanafunzi afia kambini JKT Tabora

Nyie ndii mnaokunywa juice za maboksi, serikali iongeze muda iwe mwaka mmoja. Kijana wangu hata wakifuta kwa mujibu wa sheria ni lazima aende
Sio lazma tuwe na akili na maono sawa,we kama una penda mpeleke mwanao jkt na ukitaka ajir kamanda amfundishe mwanao ukakamu chumbani kwake.
 
Hawa watoto wanapelekwa huko bila kupimwa afya zao na ukisema unaumwa husikilizwi kuna MTT wa dadaangu yupo Tanga kanielezea ni shida kwa kweli
 
So sad,najua uchungu wa huko japo sijawahi na sitakwenda ng'o,my girlfrend(awamu ya kwanza) alikuwa analalamika mda wote,ukiumwa hakuna anaejali na ukifa ndio furaha yao mana wanapandishwa vyeo,I was so worried kila alipougua anapewa panado na siku moja ya kupumzika bila kujali amepona siku ya pili lazima aende mzigoni hata kama amemeza vidonge vikali na drip za ma quinini.
SO SAD HATA KAMBI YAO KIGOMA ALIFARIKI MVULANA MMOJA KWA MALARIA NI WA MOSHI,chanzo ni uzembe alikuwa mgonjwa alipoenda hospitali akapewa panado na usiku akazidiwa na walipomrudisha hospitali akawa ameaga dunia,TAARIFA ZA KIFO ZILIKA MAPEMA NYUMBANI MANA WENZAKE WALIPIGA SIMU,cha kushangaza kifo kile kiliwafurahisha watoa mafunzo,nilipouliza iweje mtu afe wengine washerekee nikaambiwa WATAPANDISHWA VYEO WOTE,whatr a foolish?AFU WALIPOENDA KUZIKA WAKAONGOPA MDA ALIOKUFA KWENYE RISALA MANA HAWAKUJUA KAMA FAMILIA ILIELEZWA KILA KITU.

mh inauma sn jmn.mdogo angu kakataa katakata coz kuna mwenzie alifariki huko alilia sn sn wakati yuko form five. alipomaliza akapangwa kigoma kiukwel amegoma kabisaa
 
Kufa ni lazima kwa binadamu yeyote.Binti wakati wake umefika.Vijana tuache woga JKT ni mahali pazuri na panapofaa kwa vijana.
 
Katika vitu ambavyo serikali ya Tz inafanya vyaa ajabu ni hivii kuweka jeshi na kuweza kutoa huduma za malazi while kwenye mikopo wa wanafunz wa vyuo hawatoi wanavyuo weng wanalalamika mikopo na had wengne wanashndwa kusoma kabsaa kwakwel serikal haifai watoe jeshi wawekeze sehem zngne kweny bajeti ya jesh LA kuuua..R.I.P serikali hii haifai + jeshi pia
 
Hivi kwani hili jeshi ni lazima jamani?.. Kuna madhara gani kama mtu akigoma kuhudhuria haya mafunzo?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kufa ni lazima kwa binadamu yeyote.Binti wakati wake umefika.Vijana tuache woga JKT ni mahali pazuri na panapofaa kwa vijana.

Unatakiwa uelewe si kila kifo kimepangwa na MUNGU vingine hupangwa na wanadamu huu siyo utaratibu hata mzazi kasomesha kwa shida akiwa na matumaini ya kusaidiwa uzeeni halafu akafie jkt serikali angalia upya huu utaratibu
 
Unatakiwa uelewe si kila kifo kimepangwa na MUNGU vingine hupangwa na wanadamu huu siyo utaratibu hata mzazi kasomesha kwa shida akiwa na matumaini ya kusaidiwa uzeeni halafu akafie jkt serikali angalia upya huu utaratibu


Umeambiwa amekufa kwa malaria,sasa povu la nini?? kwani angekua nyumbani asingekufa kwa malaria?? wangapi wamesomeshwa hadi masters na wanakufa kwa malaria huku mitaani sembuse kufa fom 6!!
 
Kufa ni lazima kwa binadamu yeyote.Binti wakati wake umefika.Vijana tuache woga JKT ni mahali pazuri na panapofaa kwa vijana.

panafaaje kwa vijana??... mimi nimepita huko na najaribu kufikiria uhalali wa sentensi yako ya mwisho. samahani, naomba unieleweshe
 
mh inauma sn jmn.mdogo angu kakataa katakata coz kuna mwenzie alifariki huko alilia sn sn wakati yuko form five. alipomaliza akapangwa kigoma kiukwel amegoma kabisaa

ni ushenzi tu unafanyika huko, nilishaapa mmi mwenyewe hawataniona wala watoto wangu sitawaruusu kwenda, nitawaeleka kokote kusoma kama wakiwaletasheria za kipumbavu, huyo mwache abakie nyumbani. ni bora akae nyumbani
 
Back
Top Bottom